Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,035
- 23,880
Stori za vijiweni buguruniIngekuwa jeiwii asingechukua hata duru huyo na angedakwa mzima mzima
Stori za vijiweni buguruniIngekuwa jeiwii asingechukua hata duru huyo na angedakwa mzima mzima
Perfect!kwamba polisi wetu wako very unprofessional,
Kwan cdm bado ni watu si makopo tu nyie miaka yote hiyo mnashindwa kukinukisha bora ya huyuPolice wetu ni wajasiri kukabiliana na CHADEMA & BODABODA
Hahaaa!!nimemsikia RC, anasema eti isingekuwa rahisi kumkamata akiwa hai kwani ilikuwa lazima auawe tu kwani alikuwa tishio kwa raia!!muda wote ule karibia saa nzima anatamba tu na hakuwa na shida na raia yoyote, hakuwa toshio sana, badaye ndio aje kuwa tishio kwa raia mbona hata baada ya kuanza kushambuliana na askari hakuweza hata kupiga risasi kwenye gari lolote lile pale!???waseme tu pale ndio ufundi wao uliishia, lakini yule alikuwa wa kumkamata akiwa hai kabisa kwani ilikuwa ni sehemu ya wazi kabisa anaonekana!!kwani hata kutuongopea ni ngumu, kuwa alikuwa na kiroba cha mabomu , na silaha za kibailojia!!!Police wa Tanzania hawajui kwamba habari ni muhimu zaidi.. ni kweli baada ya kuishiwa risasi alikuwa si threat tena....kulikuwa hamna haja tena ya kumtwanga ya kichwa.
Adui akishanyoosha mikono juu na kuweka silaha chini, huyo muda huo huo anageuka na kuwa shahidi mkubwa mno tena wa thamani kubwa!!
Kwa mfano sasa hivi wangeshajua why ali-target askari tu na si raia.
Wenzetu wanatumia risasi za usingizi.. wakupiga tu mapema unaanguka na kulala kabisa na wanakuwa, ile kushtuka uko mikononi mwa PolisiNaangaliaga documentary za wenzetu walivyo sharp na wako well traiined,wanawakamata waharifu wazimawazima bila kuua.
Hizi mbulula za bongo zina rukaruka.
Zimezoea kukamata mateja, walevi na waandamanaji,hivyo tu wajuavyo.
Yaani mimi kwa mafunzo tu ya JKT najua mtu anakuwaje akipigwa risasi, Polisi wasijue, kwamba Polisi wetu vi vibaka wa mtaani wamepewa uniform na silaha kuwa askari?Wewe Kwa mfano ndo askari ,ungeaminije kuwa kaanguka Kwa kupigwa risasi na kama angejiangusha je,,bro kila kazi ni ngumu .kuna mtu ukimpa silaha anazimia papo hapo.kwa hiyo msifundishe watu kazi ....
Kama wewe ni askari basi ni mwuoga mno. Sijasema baada ya kuanguka Polisi walipaswa kumfuata kama kondoo anaenda kuchinjwa. Kama wana mafunzo wangejua, lakini tatizo Polisi wetu ni vibaka tu waliopewa silaha na uniformUlijuaje kama risasi ziliisha kwenye bunduki unazifahamu kanuni za umilikaji wa silaha? Kanuni inasema "muda wote amini silaha ina risasi",kitendo cha adui kunyoosha mikono juu ile ni fighting tactical yakumpumbaza unayepambana naye ndio maana polisi hawakutaka kuamini wakaendelea kumshambulia.Hivyo niwape rai musipende kuleta siasa kwenye mambo ambayo yanahatarisha uhai wa watu,ndugu zetu wamekufa aisee acheni use..
msiwafunze kazi polisi wetu wana mbinu zote za kimapigano ila pale ilikuwa ngumu sana kutumia mbinu ya 'close battle' na ndio maana wakamtanguliza yule askar aliyevalia kirai(mwenye pistol/aliyepigwa na adui).
Pathetic incompetents!HAWA ASKARI NI BURE KABISA YANI TARGET IKO WAZI KABISA NA BADO WAMEKOSA RISASI NYINGI TU
Hii ndiyo Tanzagiza, Kila sehemu ni Dhuluma tu. Kumbe ndio maana polisi wetu wanavitambi visivyoeleweka, kitambi sio kitambi kiroba sio kiroba. Dhuluma tu mwanzo mwisho.Nimeangalia video juu ya tukio la huyu mtu anaetuhumiwa kuua askari, na kuangalia kilichotokea.
Baada ya kuwa amemaliza risazi katika SMG ya pili aliyokuwa nayo na kunyoosha mikono juu, polisi walimpiga risasi ambayo ilimfanya aanguke chini. Hakukuwa na haja tena kuendelea kumpiga risasi mtu ambaye amejeruhiwa kaanguka chini.
Alipokuwa amejeruhiwa na kuanguka chini, Polisi waliendelea kumpiga risasi akiwa amelala chini ambazo nimehesabu na kukuta walimpiga risasi 19. Ajabu ni kwamba kundi lote lile la Polisi walifanikiwa kumpiga pale tu alipoishiwa risasi na kuonyesha wazi alishaamua kufa - maana alijifanya target rahisi sana.
Sasa hili lina maana gani? Ni wazi kwamba polisi wetu hawana weledi katika matukio kama haya, kwa kuwa baada ya kuwa umeona ameishiwa risasi na si tishio tena, jambo la msingi inabidi kuwa ni kumkamata akiwa hai ili kuweza kupata habari zaidi atakapodhibitiwa.
Kwa hiyo Polisi walipaswa kumkaribia kwa umakini katika formation ambayo kunakuwa na askari wanamsogelea wakiwa na silaha tayari, na wengine waanawa-cover askari wanaomsogelea katika kitu tunaita "flanks".
Lakini pia, kuna upande wa pili, kwamba huenda kuna askari walikusudia kumuua ili huyu mtu asitoe taarifa juu ya ugomvi wake na askari, maana mfu haongei!
Kwahiyo kuna conclusion tatu tu hapa, kwamba polisi wetu wako very unprofessional, incompetent, na pia walikusudia huyu mtu asitoke kwenye hili tukio akiwa hai.
View attachment 1909036
kupora silaha haimaanishi hawezi kuwa na bomu.Bomu alitoe wapi wakati inasemekana silaha aliwapora polisi wenyewe
Amini unachoamini mkuu.Sasa nyie maboya msitake tutoe siri zenu close battle(cqb)hamuwezi kabisa kilichowakuta huko TANGA ulikisikia? au kilichowakuta nduguzo 'wakunya' pale west gate unakumbuka,polisi ndio walimaliza ile mishe.Nyie maboya mnapenda kusifiwa tu mkiyatinganya hamtaki kukoselewa nawaamini mgambo 100% kuliko Polisi legelege
Wanarukaga Toka kwenye magari yakiwa speed,kwa Hamza sijui walishukia wapi?Yangekuwa maandamano ungeona mbwembwe zao
Unajuaje hawajui?Police wa Tanzania hawajui kwamba habari ni muhimu zaidi.. ni kweli baada ya kuishiwa risasi alikuwa si threat tena....kulikuwa hamna haja tena ya kumtwanga ya kichwa.
Adui akishanyoosha mikono juu na kuweka silaha chini, huyo muda huo huo anageuka na kuwa shahidi mkubwa mno tena wa thamani kubwa!!
Kwa mfano sasa hivi wangeshajua why ali-target askari tu na si raia.