Unanishangaza bi kidude kusoma na kujibu .maana nawe unaendeleza utopolo. Upo kwenye siku zako? Maana si kwa povu hili.umeumia sana sababu ni nini? Naandika kwa ajili ya watoto wewe kahaba unakuja kujibu. Huoni sasa unaonesha wewe ndo mtoto mjinga?😁😁😁 Toka nmekuumbuka kipindi kile unaomba omba pesa kwa wanaume umekuwa na hasira na nyuzi zangu. Acha ukahaba we mwanamke.kama unaona ndo maisha basi usijenge chuki sisi wengine tunapokataa
UtApeli wako.
Makubwa haya..niumie kwenye huu ujinga unaoandika hapa...?? kabisaa??? hunijui mjinga wewe.... kuomba pesa nilikuomba wewe???? acha kuandika mautopolo kenge we!!...ukiandika tutakukumbusha kuwa umeandika mautopolo ukiumia utajijuuuuu
Leo nlikuwa na miadi na galfriend wangu mpya kuja home.nlimwambia ntamwandalia msosi mwenyewe.
Kaja mapema mtoto wa watu...tumeanza na stories na maandalizi ya chakula.nmekata kachumbali.huwa napenda pilipili.nmekata kata na pilipili but before pia nlikata vitunguu na tangawizi.
Tumekula tumeshiba tukawa tunacheck movie ya mapenzi.nasi tukaanza kuwekana sawa.nlijisahau maskini sikuwa nmenawa vizuri.nikaingiza kidole kuchovya ndani yake ili kuchezea pale nje kwenye clitoris.
Ghafla tu akanisukuma mkono na kuuliza nilinawa vizuri baada ya kukata pilipili.maskini binti wa watu amewashwa ametoa nguo kumekuwa kwekundu na kuvimba. Analia tu. Nashindwa nifanye nini mpaka muda huu. Sina amani. Maana nmempeleka kwao lakini hayupo ok kabisa.anawashwa na pilipili ile mbaya.
Wadau hapo atumie nini kuondoa maumivu hayo.sijui next time kama atakubali tena maskini.
Mzee mambo mengine ignore kiume,tuendelee na uzi wetu usipoteze mantiki.Vipi khali ya bi dada kwa sasa?
Fani ya utabiri huiwezi kamkatie bwana wako kachumbari yenye pilipili
Atumie kitunguu na nyanya kukamilisha kachumbari
🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪yu made my night we mdada
😀😀 We unahatariTema ukute ni zile za njanoo hiviii..!! Yani hapoo muwasho wakee hatariii
Hahahaha new girlfriend kaona Moto.... Hatokuja kukusahau
😅😅😅mimi sio kufanyiwa mkuu..nilishawahi kujifanyia mwenyewe na hakukuwa na mwanaume wa kunibembeleza ila nikavunga tu kibishi..Chakorii kuna siku utafanyiwa hivyo. Shauri yako we ombea wenzio mabaya.