NAHUJA fursa hiyo love
NAHUJA eeeeh.......hahahaahahahahaahhhahahah
Nakwambia mkuu fakalava yaani mwezi huu wa Desemba, 2018 thread za watu kutafuta wachumba Mwanza zimetamalaki hapa JF, mie tu nishindwe kujilengesha. hahahahahaNAHUJA eeeeh.......
Nakwambia mkuu fakalava yaani mwezi huu wa Desemba, 2018 thread za watu kutafuta wachumba Mwanza zimetamalaki hapa JF, mie tu nishindwe kujilengesha. hahahahaha
December naenda Ukerewe nitakupitia.Nakwambia mkuu fakalava yaani mwezi huu wa Desemba, 2018 thread za watu kutafuta wachumba Mwanza zimetamalaki hapa JF, mie tu nishindwe kujilengesha. hahahahaha
Karibu. Jumamosi ndio utaenda Ukerewe, yaani mwisho wa wiki hii?December naenda Ukerewe nitakupitia.
Kati ya uliofanya nao matusi, kwanini usimuoe mmoja mpaka kuja kutafuta gizani?
Je uko tayari kufanya matusi baada ya ndoa na dada yangu?