Bill Lugano
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 1,186
- 6,402
Nimesogea mitaa ya Bata, Tabata. Wadau gari yangu ni Toyota mbele chini inagonga. Nilikuwa naishi mitaa flani barabara mbaya sana inagonga kama watu wanapiga ngoma ya mdundiko.
Natafuta fundi mzuri wa kuondoa kelele zooooote za chini kwa bei nzuri, maana fundi wangu yupo Kimara, ni mbali na Tabata. Gari imekuwa haihitaji honi maana toka umbali wa mita 200 tu unaisikia ikipiga vingoma chini.
Tafadhali kama unamfahamu fundi mzuri wa kuondoa milio yote ya mbele chini mwenye bei nzuri tuwasiliane.
😁😁😁😁😁😁
Kawaida ya Watanzania uzi huu ndiyo watachangia na kufurahi sana kuwa maskini tupo wengi. But nikianza waelezea zile gari zangu za ukweli, tayari itakuwa nongwa.
Yaani Watanzania wanapenda sifa za kimaskini kama hizi.
Natafuta fundi mzuri wa kuondoa kelele zooooote za chini kwa bei nzuri, maana fundi wangu yupo Kimara, ni mbali na Tabata. Gari imekuwa haihitaji honi maana toka umbali wa mita 200 tu unaisikia ikipiga vingoma chini.
Tafadhali kama unamfahamu fundi mzuri wa kuondoa milio yote ya mbele chini mwenye bei nzuri tuwasiliane.
😁😁😁😁😁😁
Kawaida ya Watanzania uzi huu ndiyo watachangia na kufurahi sana kuwa maskini tupo wengi. But nikianza waelezea zile gari zangu za ukweli, tayari itakuwa nongwa.
Yaani Watanzania wanapenda sifa za kimaskini kama hizi.