Huu uzi Kiduku Lilo aliuleta wakati anaanza maisha mara tu baada ya kutoka kwa wazazi🤣🤣🤣Uliyefukua hili kaburi Mungu anakuona. Teh teh.
HahahUliyefukua hili kaburi Mungu anakuona. Teh teh.
Bilionea Kiduku Lilo huu uzi umemuumbua,ukiwa muongo uwe na kumbukumbuUliyefukua hili kaburi Mungu anakuona. Teh teh.
bilionea @Liduku Lilo wakati anaandika huu uzi alikua anawachora tu ili apate kujua idadi ya watu wenye mawazo ya kimaskini maskini.Kiduku lilo umeediti uzi wako kwanini?
Kiduku Lilo wewe sio wa garage za mtaani. Nenda pale Toyota nyerere rd.😂😂😂
WAKUU,
ACHENI KUMKEBEHI HUYU "BILIONEA",
MPENI MWONGOZO WA FUNDI WA KUMREKEBISHIA MIGUU YA MBELE YA TOYOTA_GX100 YAKE INAGONGAGONGA NA KUPIGA KELELE!!!
Haaaaa haaaaa Nimechekaeti inapiga kelele kama ngoma za mdundiko.
ila jamaa ana kipaji fulani hivi comedian, pamoja na kumpuuza lakini nikianza kusoma nyuzi zake sichoki na lazima nimalize.
#eti gari haihitaji honi maana mita 200 inasikika.
huna akili wewe kwa Nini awarudushe Oscar na mugabo kwa nini wewe usiwafuateHahahaaaaa Mkuuuu umeniwahi maaaana mimi pia ndio Garage yangu happo kwa Peter ni uhakika ingawa vijana wake baadhi wamejitenga na kufungua vijiwe vyao.
All in all thats the best place kwa gari za Toyota. Ila tumshauri Peter awarudishe kundini Oscar na Mgabho ili kazi ionekane.
Katafute ligi na Wenye digrii 4 kama wewe, usinizoeee kenge pori weeee.huna akili wewe kwa Nini awarudushe Oscar na mugabo kwa nini wewe usiwafuate
Haaaa wanaume kaziniKatafute ligi na Wenye digrii 4 kama wewe, usinizoeee kenge pori weeee.
huna akili wewe kwa Nini awarudushe Oscar na mugabo kwa nini wewe usiwafuate