Sema ulikurupuka na mihemuko ya kivyama, jifunze kusoma kisha ucomment,nakuonaga hapa toka najiunga kumbe ni wale wale wavivu wa kusoma mabingwa wa ku comment. Halafu mtu kuisifia chadema na kuiponda ccm haimfanyi kuwa mwana chadema kama ambavyo si kila anayeipondea cdm ni mwana ccm. Wakati mwingine usifungwe sana na itikadi za ccm na cdm.Kama unataka kuandika kitu kwanini usiende direct to the point badala ya kuzunguka huku na kule!? Kuna wasiojitambua humu leo watakwambia mie Chadema kesho utawasikia wako lumumba. Kuweni makini nao sana. Na mifano ya hao humu ipo ya kutosha tu.
CHADEMA = WASALITI WA MAENDELEO TANZANIA
shabiki wa siasa za kikandamizaji.Pia ufahamu wako ni mdogo hujui hata kina endelea nini.Biashara za watanzaia zina fungwa wewe bado una shabikia uzuzuUmofia kwenu!
Nimekuwa nikiwaza sana aina ya elimu tunayofundishwa huko mashuleni na vyuoni. Nalaani sana mfumo wetu wa elimu ambao si tu hautupi uwezo wa kuchambua mambo bali pia hautupi uwezo wa kufikiria kisawasawa, kutenda sawasawa na kuamua sawasawa. Elimu yetu imefeli katika nyanja zote, kuanzia kuwezesha wahitimu kuwa wabunifu, kujiajiri na hata kupata uelewa wa kawaida.
Inasikitisha mtu mwenye elimu ya degree ya Accountancy na CPA juu kusema mchana kweupe bila ya kupepesa macho wala makope yake tena akiwa mbele ya mkuu wa nchi na viongozi wengine waandamizi wa nchi kuwa kaamua kuhama chama cha chadema kwenda ccm kwasababu tu amegundua chadema wanapinga kila kitu hivyo kufanya nchi isiwe na mendeleo.
Najiuliza kivipi Chadema hata wakipinga chochote kile wanaweza kufanya nchi hii isiwe na maendeleo. Chadema hawakusanyi kodi, bungeni pale maamuzi yanafanywa na wabunge wa ccm kwasababu ndiyo wengi, serikali imeundwa na makada wa ccm kuanzia serikali kuu hadi mkurugenzi wa halmashauri.
Hivi kweli mtu mwenye degree na CPA holder anaweza kutuambia ni nchi gani hapa dunia wapinzani wanaunga chochote kinasemwa na serikali?. Au yule jamaa alipanga kuwatusi wana ccm kwa mgongo wa CDM?
Kwa kweli nimegundua kitu kimoja , huenda ujinga wa Waafrika unatokana na sababu nyingi, kama wazazi kutokujiandaa kupata mtoto kwahiyo mzee anaweza kutoka kunywa pombe na usiku huo akamlala mkewe na mimba kunasa, lishe duni toka mama anapokuwa mjamzito, lishe duni kwenye miaka 5 ya awali toka mtoto azaliwe, ujinga wa kurithi kwenye ukoo wa baba na mama, umasikini na lack of exposure. mjumuiko wa haya mambo hayawezi kumuacha mwenye CPA wa halmashauri wa HAI salama.
Kindikwili Masasi Ntwara.
Watanzania tumezoea kudanganywa na wanasiasa wanatudharau sana. Nilimdikia Mary Nagu siku PM akizindua mradi wa maji ati mgombea wa Ubunge Jimbo la Longido, Dk Kiruswa alikuwa anamsumbua kuhusu maji Longido. Juzi Rais Magufuli anawaambia Watanzania pale Sheikh Amri Abeid kuwa amepunguza bei ya sukari kutoka sh.5,000/- kwa kilo wakati wa JK hadi 2,400/- akiwa macho makavu kabisa kana kwamba anaongea na Wakongomani. Yaani vioja haviishi.
Sasa huyo mwingine anadai Chadema wanaifanya nchi isiwe na maendeleo na watanzania wanapoteza muda na wanavumilia kusikiliza ujinga huo. Yaani wanasiasa wanawaona Watanzania ni mazuzu sana, tuko tayari kuambiwa mchanga ni sukari na tukasikikiza tu huo ijinga.
Vv
Watu wanasoma heading tu kisha wanaenda kuandika. Alaaniwe aliyevuruga mfumo wetu wa elimuMkuu hebu soma tena maana naona hujaelewa post yangu, utakuwa umesoma title uka comment
Mwenyewe nimeiona, ukitaka kujua kuwa tatizo si ccm wala chadema angalia comments za watu humu. Mtu kama BAK anashambulia sana ccm kumbe naye ni wale wale wasioweza kusoma , huyu hata kama chadema utashika madaraka halafu itokee kapewa wizara si ndiyo atasaini mkataba wenye welengo wa kutuuza kabisa. Kama wanashindwa kusoma page moja tena ya kiswahili pages 100/za kimombo watasoma? Shame on us.Aisee sitawashanga tena wale viongozi wanaosaini mikataba bila kuisoma.
Kumbe hii kitu ipo kwenye damu sio Chadema wala Ccm.
Inasikitisha mno.
shabiki wa siasa za kikandamizaji.Pia ufahamu wako ni mdogo hujui hata kina endelea nini.Biashara za watanzaia zina fungwa wewe bado una shabikia uzuzu
kwani cdm waliwahikushika dola wakakusanya kodi hadi wakawa hawazitumii kwenye maendeleoSijui Chadema walitawala kipindi gani??Hope Mkapa alitoka Chadema, no mh!JK duh nimekosea nasikia Mwinyi.
Akili nyingine bwana kama za vitoboto
Sema ulikurupuka na mihemuko ya kivyama, jifunze kusoma kisha ucomment,nakuonaga hapa toka najiunga kumbe ni wale wale wavivu wa kusoma mabingwa wa ku comment. Halafu mtu kuisifia chadema na kuiponda ccm haimfanyi kuwa mwana chadema kama ambavyo si kila anayeipondea cdm ni mwana ccm. Wakati mwingine usifungwe sana na itikadi za ccm na cdm.
Mkuu kumbe uwezo wako wa kuelewa ni Mdogo sana. Hiyo title siyo maneno yangu ,ni ya huyo CPA holder aliyekuwa makamu makamu mwenyekiti wa halmashauri ya HAI aliyehamia ccm. Mbona una kichwa kikubwa tu halafu unashindwa kuelewa vitu simpo kama hivi, kuna mpoland moja aliniambia waafrika wana vichwa vikubwa ila akili kama kichwa cha dagaa.Japo sikufurahia kauli hiyo ila naona unadhihirisha hiyo kauli.Uliona wapi mtu Chadema akasimama jukwaani aanze kuilaumu Chadema kwa makosa yote ya nchi hii kumbe anailenga CCM!
Straight to the point that's the rule of the game.
Hata wewe, mfumo wa elimu umekuathiri. Mtafakari Huyo CPA holder vizuri.Umofia kwenu!
Nimekuwa nikiwaza sana aina ya elimu tunayofundishwa huko mashuleni na vyuoni. Nalaani sana mfumo wetu wa elimu ambao si tu hautupi uwezo wa kuchambua mambo bali pia hautupi uwezo wa kufikiria kisawasawa, kutenda sawasawa na kuamua sawasawa. Elimu yetu imefeli katika nyanja zote, kuanzia kuwezesha wahitimu kuwa wabunifu, kujiajiri na hata kupata uelewa wa kawaida.
Inasikitisha mtu mwenye elimu ya degree ya Accountancy na CPA juu kusema mchana kweupe bila ya kupepesa macho wala makope yake tena akiwa mbele ya mkuu wa nchi na viongozi wengine waandamizi wa nchi kuwa kaamua kuhama chama cha chadema kwenda ccm kwasababu tu amegundua chadema wanapinga kila kitu hivyo kufanya nchi isiwe na mendeleo.
Najiuliza kivipi Chadema hata wakipinga chochote kile wanaweza kufanya nchi hii isiwe na maendeleo. Chadema hawakusanyi kodi, bungeni pale maamuzi yanafanywa na wabunge wa ccm kwasababu ndiyo wengi, serikali imeundwa na makada wa ccm kuanzia serikali kuu hadi mkurugenzi wa halmashauri.
Hivi kweli mtu mwenye degree na CPA holder anaweza kutuambia ni nchi gani hapa dunia wapinzani wanaunga chochote kinasemwa na serikali?. Au yule jamaa alipanga kuwatusi wana ccm kwa mgongo wa CDM?
Kwa kweli nimegundua kitu kimoja , huenda ujinga wa Waafrika unatokana na sababu nyingi, kama wazazi kutokujiandaa kupata mtoto kwahiyo mzee anaweza kutoka kunywa pombe na usiku huo akamlala mkewe na mimba kunasa, lishe duni toka mama anapokuwa mjamzito, lishe duni kwenye miaka 5 ya awali toka mtoto azaliwe, ujinga wa kurithi kwenye ukoo wa baba na mama, umasikini na lack of exposure. mjumuiko wa haya mambo hayawezi kumuacha mwenye CPA wa halmashauri wa HAI salama.
Kindikwili Masasi Ntwara.
Wale wale waliodumaa wakiwa tumboni, shame on youUmekosea kuhama muda huu, ungesubiria Rais aje kukupokea mkuu!
Watanzania kwa sifa bhana, kwani kama ungehama bila kufungua thread ungepata ugonjwa gani mkuu
Soma madaUmekosea kuhama muda huu, ungesubiria Rais aje kukupokea mkuu!
Watanzania kwa sifa bhana, kwani kama ungehama bila kufungua thread ungepata ugonjwa gani mkuu
Humu greater thinkers kama wapo ni wachache sana, kwangu heshima ziwaendee The Bold na mzee tupa tupa. Waliowengi humu ni kama wako kwenye kijiwe cha kahawa. Ukiandika title yenye kumsifia Rais hawasomi ila wanakushambulia tu, wenzao nao ukiandika title yenye kuisifu chadema hawasomi ila unaambulia matusi tu. Nchi hii vijana wamerogwa na si wana ccm tu hata wale wa chadema nao naona ni wale waleNa hapa ndio utakapo amini kuwa vilaza wengi wa humu ni wakurupukaji sana , hawajasoma maudhui wana kimbilia kutoa ushuzi kweli wajinga ndio waliwao , wengi hawajasoma ndio maana wajinga wameshindwa hata kusoma ulicho andika halafu eti wana jiita ma great thinkers.
Hahahaa mimi nilimuona kama mtu mjinga wa ajabu, nimedharau sana CPA yakeAsee huwez amini huyo jamaa wa cpa tangu anasoma namuona vema..Kamaliza cpa tu akaajiriwa na kampuni ya maengineer akapewa na gari ilaa wakati wa uchaguz akaenda chadema ili awe mwenyekiti wa madiwani jimbo la Hai ila Mbowe akamkatalia , na jamaa alikuwa akisema akipewa uenyekiti tu atapiga pesa hapo hai hadi awape ndugu zake mashamba. Hapo jamaa hajaenda ccm kwa ajili ya rais ila anatafuta pesa tuu. kwa hyo mnaomsapoti jamaa wa CPA ni mazuzu tu maana jamaa anatafuta pesa bora mm simsapoti ila naweza nikaambulia hata 10K kama ccm wakimpa ka cheo cha kujishikiza
Mkuu kumbe uwezo wako wa kuelewa ni Mdogo sana. Hiyo title siyo maneno yangu ,ni ya huyo CPA holder aliyekuwa makamu makamu mwenyekiti wa halmashauri ya HAI aliyehamia ccm. Mbona una kichwa kikubwa tu halafu unashindwa kuelewa vitu simpo kama hivi, kuna mpoland moja aliniambia waafrika wana vichwa vikubwa ila akili kama kichwa cha dagaa.Japo sikufurahia kauli hiyo ila naona unadhihirisha hiyo kauli.
Pole. Tatizo lao kwa sasa ni kupata wa Arusha. Posho yako haitojaa hata mkononi.Umofia kwenu!
Nimekuwa nikiwaza sana aina ya elimu tunayofundishwa huko mashuleni na vyuoni. Nalaani sana mfumo wetu wa elimu ambao si tu hautupi uwezo wa kuchambua mambo bali pia hautupi uwezo wa kufikiria kisawasawa, kutenda sawasawa na kuamua sawasawa. Elimu yetu imefeli katika nyanja zote, kuanzia kuwezesha wahitimu kuwa wabunifu, kujiajiri na hata kupata uelewa wa kawaida.
Inasikitisha mtu mwenye elimu ya degree ya Accountancy na CPA juu kusema mchana kweupe bila ya kupepesa macho wala makope yake tena akiwa mbele ya mkuu wa nchi na viongozi wengine waandamizi wa nchi kuwa kaamua kuhama chama cha chadema kwenda ccm kwasababu tu amegundua chadema wanapinga kila kitu hivyo kufanya nchi isiwe na mendeleo.
Najiuliza kivipi Chadema hata wakipinga chochote kile wanaweza kufanya nchi hii isiwe na maendeleo. Chadema hawakusanyi kodi, bungeni pale maamuzi yanafanywa na wabunge wa ccm kwasababu ndiyo wengi, serikali imeundwa na makada wa ccm kuanzia serikali kuu hadi mkurugenzi wa halmashauri.
Hivi kweli mtu mwenye degree na CPA holder anaweza kutuambia ni nchi gani hapa dunia wapinzani wanaunga chochote kinasemwa na serikali?. Au yule jamaa alipanga kuwatusi wana ccm kwa mgongo wa CDM?
Kwa kweli nimegundua kitu kimoja , huenda ujinga wa Waafrika unatokana na sababu nyingi, kama wazazi kutokujiandaa kupata mtoto kwahiyo mzee anaweza kutoka kunywa pombe na usiku huo akamlala mkewe na mimba kunasa, lishe duni toka mama anapokuwa mjamzito, lishe duni kwenye miaka 5 ya awali toka mtoto azaliwe, ujinga wa kurithi kwenye ukoo wa baba na mama, umasikini na lack of exposure. mjumuiko wa haya mambo hayawezi kumuacha mwenye CPA wa halmashauri wa HAI salama.
Kindikwili Masasi Ntwara.