macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,703
- 39,410
Siendi popote. Tukisema huu ni ubunifu ni kujidhalilisha. Watu wamesafiri miaka nenda rudi kwenda kushangilia timu nyie mnakuja kudanganya hapa ni ubinifu?Kwenda zako! Wewe unebuni nini!?