mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 7,643
- 9,744
Hayo ndio maajabu ya nchi yetu.Mwamposa ni mhuni kama kina Gwajima ambao wanawahadaa wajinga watoe sadaka lkn sadaka hiyo haiendi kufanya jambo lolote la ki Mungu ila inaishia kuliwa na hawa matapeli.
Tangu lini kiongozi wa dini akauza maji madhabahuni?
Nashangaa watu kama Mwamposa wanapewa kibali cha mkutano wa kuwaibia wananchi lkn Zito kabwe ananyimwa kibali cha kuongea na wananchi wake
Sent using Jamii Forums mobile app