Ni kama logic ya kipuuzi lakini ukweli ndo huo!
Wenye Gari zinazofanana wawapo barabarani hata akili zao hushabihiana na kufanana halafu Mara nyingi wao kwa wao wanapendana sana!
Hii yote ni ishara kuwa wanaakili zinazofanana!
Wenye Gari zinazofanana wawapo barabarani hata akili zao hushabihiana na kufanana halafu Mara nyingi wao kwa wao wanapendana sana!
- Tazama kwa makini wanaomiliki harrier tako la nyani hawapendi kukaa nyuma, atapambana hadi akupite ndo furaha take
- Tazama wamiliki Wa IST wana viherehere vya kuchomekea halafu wabishi/viburi kama bodaboda (inferiority)
- Tazama wanaomiliki CAMI hawanaga makuu, halafu ni wapole na niwaelewa sana
- Tazama wanaomiliki Subaru wanavyopenda sifa sasa kama wahaya
- Tazama wanaomiliki land cruiser hawana mbwembwe barabarani they act matured
- Wanaomiliki Crown wanapenda kuzuga kama wakarimu kumbe kichwani mwao wanawaza ngono tupu
- wanaomiliki alteza mbio nyingi lakini hawana kitu mfukoni mda mwingi wanajaza mafuta ya ten ten n.k
Hii yote ni ishara kuwa wanaakili zinazofanana!