Nimegundua wasanii wengi ni watoto wa single mothers; kama ni kweli why?

Hizo sanaa za kulazimisha ndio za wale wanaotulazimisha tucheke wakati hawachekeshi. Sanaa kipaji.

Sasa na wenzangu na mie ambao wanaona sanaa ndio short cut ya maisha ndio wanaishia kushika magitaa mitaani; tena wamesomea miziki lakini hawana uasilia wa usanii.


Ni kweli sanaa ina uhusiano na uhuru. Kama nilivyosema kwenye posts zangu za juu ni kwamba wengi wa hao vijana wanachukua mengi kwa mama zao ikiwa ni pamoja na mwelekeo wa sanaa. Hawa wanakuwa wamechagua sana kwa uhuru wao; huo ndo mwelekeo wao kutoka ndani ya moyo wao.

Lakini lazima tukubali pia kwamba wapo wanaoweza kwenda kwenye sanaa kama chaguo la pili baada ya kukosa kile walichokitaka katika maisha yao. Na hili si jambo geni, ni jambo la kawaida popte duniani. Mtu unapanga maishani kufanya hiki, lakini unajikuta huna uwezo: wa kifedha, qualification, nk unaamua kuingia kwenye fani nyingine. Hapo hakuna cha ajabu wala cha kushangaa. Kwa hiyo using'ang'anie sana kusema sanaa ni uhuru ukaishia hapo. Wakati mwingine mtu anaweza akaingia huko kutokana na kukosa njia nyingine ya kusonga mbele.
 
Hizo sanaa za kulazimisha ndio za wale wanaotulazimisha tucheke wakati hawachekeshi. Sanaa kipaji.

Sasa na wenzangu na mie ambao wanaona sanaa ndio short cut ya maisha ndio wanaishia kushika magitaa mitaani; tena wamesomea miziki lakini hawana uasilia wa usanii.
Kuna mengi tunayoyafanya si vipaji vyetu, ila tumejifunza na kufaulu. Kumbe yafaa kutenganisha kati ya kipaji kama kipaji na kitu cha kujifunza na ukafunzika hata kama huna kipaji. Sanaa vivyo hivyo. Wapo wenye vipaji vya kuzaliwa nayo; lakini pia wapo wanaojifunza au kufundwa na baadaye kuwa wasanii bora kabisa. Kwa hiyo sanaa ina njia zote hizo mbili.

Sanaa kwa hao wanaoichagua kama chaguo la pili wala sio shortcut, it is simply an alternative kama nilivyoeleza hapo juu. Hii ni kwa sababu ili kuwa msanii wa kweli kunahitaji maandalizi. It is a process!
 
sijapitia page zote kusoma wadau wamesema nini,lakini jibu lake ni kama ifuatavyo

kiujumla wasanii na wanamichezo kote duniani(with the exceptionsl fews) hutoka ktk familia duni au za wastani lakini sio zilizo tajiri au zilizo imara.sababu kubwa ni kwavile usanii ni njia kuu mbadala wa kutoka kimaisha pale shule inapokuwa imegomba!

mojawapo ya njia kuu za kuzalisha familia maskini au duni au zisizo imara ni kutalikiana,na pia kutokana na sababu nyingi nzito za kiasili na za kusababisha maranyingi watoto hubaki na mama zao wapenzi au wanandoa wanapotalikiana.hapo ndipo unapoweza kupata jibu kwanini wasanii wengi hutoka kwa single mothers.ni ukweli usiopingika
 
ngoja nitizame labda nitaelewa.

Swali jingine, je katika jamii, single mothers ni maskini zaidi ukilinganisha na wazazi wengine?
 
Tank you for broadening our discussion.

Kwa hiyo sababu si u single mother...ni umasikini.
Nimekupata vizuri sana. Na umasikini una relationship na u single mother...nimekupata sana.

Kwa maana nyingine single rich mother mtoto wake ni less likely kuwa msanii?

Hapo kuna swali la kujiuliza tena

Is it only about money au u softness wa kulea?...na u softness wa kulea unachangiwa na umasikini?...probably...maana kama wazazi hawakutimizii hawawezi kukuwekea mipaka.

Kuna mengi ya kujiuliza.


sijapitia page zote kusoma wadau wamesema nini,lakini jibu lake ni kama ifuatavyo

kiujumla wasanii na wanamichezo kote duniani(with the exceptionsl fews) hutoka ktk familia duni au za wastani lakini sio zilizo tajiri au zilizo imara.sababu kubwa ni kwavile usanii ni njia kuu mbadala wa kutoka kimaisha pale shule inapokuwa imegomba!

mojawapo ya njia kuu za kuzalisha familia maskini au duni au zisizo imara ni kutalikiana,na pia kutokana na sababu nyingi nzito za kiasili na za kusababisha maranyingi watoto hubaki na mama zao wapenzi au wanandoa wanapotalikiana.hapo ndipo unapoweza kupata jibu kwanini wasanii wengi hutoka kwa single mothers.ni ukweli usiopingika
 
Tank you for broadening our discussion.

Kwa hiyo sababu si u single mother...ni umasikini.
Nimekupata vizuri sana. Na umasikini una relationship na u single mother...nimekupata sana.

Kwa maana nyingine single rich mother mtoto wake ni less likely kuwa msanii?

Hapo kuna swali la kujiuliza tena

Is it only about money au u softness wa kulea?...na u softness wa kulea unachangiwa na umasikini?...probably...maana kama wazazi hawakutimizii hawawezi kukuwekea mipaka.

Kuna mengi ya kujiuliza.

well off families or standard families in most cases hawaruhusu watoto wao watafute maisha kupitia usanii,pia from now onward dunia ina itakuwa na single mothers wengi wenye uwezo kimaisha hivyo tarajia kupungua kwa wasanii from single mothers.

wapo wasanii toka familia tajiri lakini kuna sababu pia,willow na jaden smith ni wasanii kwa vile wazazi wao ni wasanii,watoto wa beckham labda watakuwa wachezaji mpira kwa kulazimishwa na baba yao.

the best trigger ya kukufanya uwe msanii ni ugumu wa maisha!piga ua garagaza!
 
Jaribu kufuta hilo neno 'wengi' alafu soma hiyo heading upya.

Inasomekaje? Si bora nimeweka 'wengi'. Na hapo mnataka kunitoa macho...isingekuwepo ingekuwaje? Lol.

Hapa tunapiga story sijawambia ni scientific reseach. SI kila tunachoongea lazime kiwe based kwenye research. research topics zinatokana na daily observations.... Kama hizi...researcher wao wanatafuta confirmation au rebute.


"Wengi"? Kati ya wangapi? Ukisema wengi hata wakiwa watatu tu tayari ni wengi na hivyo tayari wanatosha kusupport hoja yako.

Halafu, katika hiyo observation yako ulikuwa unalinganisha na wasanii waliolelewa na "single father", "grand parent(s)", "ndugu wengine", "adopted" au "baba na mama"?

Anyway, weekend hii...lets take it easy!!!!
 
Nilichokosea ni nini?

Hakuna neno "single mother" ? Au na "single father" nao wanafit kwenye hii topic?


Maana single parent ina maana ya either single mother au single father...mimi nimeongelea single mother kwa makusudi si kwa makosa. SIngle parent wa kiume hii mada haiwahusu.


nadhani umekosea ulitaka useme single parent?
 
Inawezekana. Najua kuna wasanii wenye pesa lakini bado hawataki watoto wao waje kuwa wasanii sijuhi kwa nini.

Mfano niliona mume wa Mariah anahojiwa anasema anataka mapacha wake wawe na PhD. Labda anataka kuwapa alichokosa.


well off families or standard families in most cases hawaruhusu watoto wao watafute maisha kupitia usanii,pia from now onward dunia ina itakuwa na single mothers wengi wenye uwezo kimaisha hivyo tarajia kupungua kwa wasanii from single mothers.

wapo wasanii toka familia tajiri lakini kuna sababu pia,willow na jaden smith ni wasanii kwa vile wazazi wao ni wasanii,watoto wa beckham labda watakuwa wachezaji mpira kwa kulazimishwa na baba yao.

the best trigger ya kukufanya uwe msanii ni ugumu wa maisha!piga ua garagaza!
 
This goes to any entertainment career, ngumu kuielezea kwa maandishi I mean ni vizuri tukiwaiwa tunaongea sababu inahitaji elaboration nyingi. Tena ieleweke kuwa wanaofanikiwa kwenye hii tasnia wengi wanatoka kwenye familia duni sababu inahitaji moyo kujishusha angalau kwa nchi za wenzetu kidogo wengi wanaikalia darasani

hii topic ni veru touchy
watu wameichukulia very personal i guess
na kama ukisikiliza viongozi wa dini wanavyosema
kuna kitu very deep hapa kinakwepa kuzungumziwa
 
Bora The Boss umeiangalia kwa jicho la tatu.

Unajua mtu unaweza ukapitia kitu kama kulelewa na mama peke yake...kikakufanya uwe hivyo ulivyo lakini usijue sababu ilokufanya uwe hivyo ulivyo.

Mimi ndio maana napenda sana kusoma saikolojia ingawa si field yangu ili nijue mapungufu yangu niyafanyie kazi.

Na nimegundua kuwa as a woman nina ka usoftness fulani...japo watu unambia mi mkali.

Sasa pale napokuwa irrational (kwa sababu niko too emotional) mzee anakazia basi kijana anakuwa kwenye mstari.

Nafikiria ningeweza vipi kuwalea hawa kina nanii bila baba yao...japo kiuchumi I can take care of any size of extended family. As a head of a household. Lol




hii topic ni veru touchy
watu wameichukulia very personal i guess
na kama ukisikiliza viongozi wa dini wanavyosema
kuna kitu very deep hapa kinakwepa kuzungumziwa
 
Bora The Boss umeiangalia kwa jicho la tatu.

Unajua mtu unaweza ukapitia kitu kama kulelewa na mama peke yake...kikakufanya uwe hivyo ulivyo lakini usijue sababu ilokufanya uwe hivyo ulivyo.

Mimi ndio maana napenda sana kusoma saikolojia ingawa si field yangu ili nijue mapungufu yangu niyafanyie kazi.

Na nimegundua kuwa as a woman nina ka usoftness fulani...japo watu unambia mi mkali.

Sasa pale napokuwa irrational (kwa sababu niko too emotional) mzee anakazia basi kijana anakuwa kwenye mstari.

Nafikiria ningeweza vipi kuwalea hawa kina nanii bila baba yao...japo kiuchumi I can take care of any size of extended family. As a head of a household. Lol

Ukitoka kwenye single family au ukiwa uko kwenye single family
ukikutana na mtu akisema 'anything negative' kuhusu single familly
unaweza kuona 'unatukanwa' hasa kama wewe mwenyewe unaona uko normal au better kulinganisha na wengine
but study zipo nyiingi mno za hii mada
ipo study Marekani iliyoonyesha 'wafungwa wengi kwa asilimia 80 ya kesi za wizi na ujambazi'
wanatoka kwenye single familly hasa single mothers

na si hiyo tu
mfano hata porn stars wengi hukuti alietoka kwenye familia ya baba na mama
ni very rare
tena most porno stars wengi wao wazazi wao walikuwa porno star pia

hii mada ni very usefull tukiondoa hisia ndani yake
 
Ni kweli na kutokana na waliochangia positively inawezekana ikawa sababu ya:

1.Kuwachukulia mama zao kama role models...mama mcheza porn na mimi nacheza..mama actress na mimi ntakuwa actor/actress (waswahili wanasema sijuhi 'huwezi okota embe chini ya mfenesi')

2. Kutokuogopa wakina mama...mama atanifanya nini..kwanza ana huruma nikimsomesha tu atanielewa; asiponielewa namtishia kujiua mwenyewe atalainika.

3. Umasikini..kwa nchi zilizoendelea mfano single mothers inawabidi wawe na kazi zaidi ya moja...na bado wanakuwa na kipato kidogo plus hawana muda wa kulea watoto.

4. Umasikini kwa maana if you can't provide huwezi nizuia kujitafutia..ngoja niache shule niwe msanii kwani usanii si lazima nende shule.


Ukitoka kwenye single family au ukiwa uko kwenye single family
ukikutana na mtu akisema 'anything negative' kuhusu single familly
unaweza kuona 'unatukanwa' hasa kama wewe mwenyewe unaona uko normal au better kulinganisha na wengine
but study zipo nyiingi mno za hii mada
ipo study Marekani iliyoonyesha 'wafungwa wengi kwa asilimia 80 ya kesi za wizi na ujambazi'
wanatoka kwenye single familly hasa single mothers

na si hiyo tu
mfano hata porn stars wengi hukuti alietoka kwenye familia ya baba na mama
ni very rare
tena most porno stars wengi wao wazazi wao walikuwa porno star pia

hii mada ni very usefull tukiondoa hisia ndani yake
 
Thank you. Sasa tumeanza ku discuss...

Sisi wamama tuna kasoro ipi kwenye kulea?

Wamama, kama walivyo wababa, kila upande una kasoro linapokuja suala la malezi ya watoto. mama akiwa sole parent, na baba likewise, kuna tatizo. kwa vile watoto wengi hujikuta wakiishi na mama endapo, kwa sababu yoyote baba hayupo. kama nilivyosema awali, kazi ya baba ni ku-enforce 'law and order', kitu ambacho kina mama wengi hawana au wanatake for granted. ndo maana 'watoto wa mama' kwanza hawana discipline, haijalishi kwao ni maskini au tajiri. hapa sitaki kusema kuwa wasanii ni watu wasio na discipline, ila wengi wao ni careless, hawana values. hii ni kutokana na backgrounds zao. wasanii wengi wanafanana katika jambo moja au jingine, mfano ngono na ulevi.

hitimisho: uwezekano wa watoto kukosa discipline au values na hatimaye kuwa wasanii ni mkubwa kwa waliolelewa na mama pekee kuliko kwa waliolelewa na baba na mama.

tujadili.
 
Sina uhakika ila inawezekana. Kuwa mtoto wa single mother unadeal na mengi,kukosa emotional attachment ya mzazi mwingine,stigma, na mengineyo. Sisi tulikuwa tunaambiwa shule kwanza hivyo vipaji vingine baadae,sana sana alichofanya alikuwa anahimiza tushiriki michezo,maigizo,kwaya shuleni au kanisani ili tuenjoy vile vipaji vyetu vingine. Pia kuhakikisha tulikuwa na routine ambazo tunazifuata kila siku. Vile vile tulimwona yeye kama role model kwa sababu alikuwa anafanya kazi kwa bidii na active kwenye community. Mpaka leo hii nashangaa aliwezaje peke yake mpaka wote wanne tukawa poa kwa sababu baada ya kupata watoto naona jinsi malezi yalivyo ni kazi sana. Nilikuwa naona anavyochoka pia kulea peke yake,sio kazi rahisi hata kidogo na asingekazia msuli sijui... Malezi ni kusaidiana,ingawa ikitokea bahati mbaya inabidi usichoke hata robo. Ngoja niishie hapa maana haka katopic kanagusa kweli
 
kila kitu ni kwa mtizamo unaoamua kuchukulia.

Familia iwe ya single mom, single father au wazazi wote, kama ni goi goi lazima watoto wapinde.

Na sijaona kama kuwa msanii ni kwamba mtu amefeli kihivyo.

Na napima ukuaji wa mtu kulingana na alivyoweza kujikwamua kutoka zero to hero.

Kama watoto wa wazazi wote wana facilities zote na bado wanaishia kuwa watu wa kati, basi wasanii wamepiga hatua zaidi toka maisha duni hadi ku-run miji.

Suala la risk route, ni nini sio risk kufanya?? Na risk hii tunaiangalia kwa angle gani? Maana hata biashara tu ina risk ya kukata mtaji, shule ina risk ya kufeli.

Sijaona nini kinajaribu kuelezwa hapa.
 
Ukitoka kwenye single family au ukiwa uko kwenye single family
ukikutana na mtu akisema 'anything negative' kuhusu single familly
unaweza kuona 'unatukanwa' hasa kama wewe mwenyewe unaona uko normal au better kulinganisha na wengine

but study zipo nyiingi mno za hii mada
ipo study Marekani iliyoonyesha 'wafungwa wengi kwa asilimia 80 ya kesi za wizi na ujambazi'
wanatoka kwenye single familly hasa single mothers

na si hiyo tu
mfano hata porn stars wengi hukuti alietoka kwenye familia ya baba na mama
ni very rare
tena most porno stars wengi wao wazazi wao walikuwa porno star pia

hii mada ni very usefull tukiondoa hisia ndani yake

Hapo kwenye red nakubaliana na wewe kabisa. Unajiona fresh tu baadae hasa baada ya kuwa na familia somo linaingia vizuri.
 
The Boss, mtoto yeyote mzazi wake huwa ndio role model.

Sishangai mtoto wa porn star kuwa porn star ihusishwe na u-single mother? Au single father?

Mfano, mzazi wangu ni engineer wa umeme, nilianza penda kazi ya umeme tangu la kwanza, na nilipenda physics na maths simply bcoz na ndoto ya kuwa engineer kama mzazi.

Kwa nini iwe ajabu kwa porn star? Au kwa mtoto wa single parent kupenda kazi ya mzazi anayemlea?

Capital, hao akina baba wa ku-enforce law and order umewapimaje?? Hakuna mababa bushoke? Soft hata anaweza chomwa kidole jichoni na mtoto?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom