Nimegundua Trafik wanakula hela nyingi za dereva kwa kutokujua sheria

NI MTAZAMO TU

JF-Expert Member
Feb 20, 2014
1,203
998
Leo nimepita zangu na kigari changu maeneo ya Kariakoo, atii nipo kule Barabara ya Lung'ombe na sikukuu street mara nikakamatwa na Traffic sijafunga mkanda.

Nikamuuliza haujui kuwa katikati ya mji kama hapa sipaswi kufunga mkanda ili ukitokea moto niweze kujiokoa..etii sheria hiyo umesoma wapi?

Baadae nikamwambia twende kituoni pale Msimbazi tukapate ujuzi zaidi..

Mwishowe akaniambia nenda bhana ila usimwambie mtu maana siku nyingi watu wanapigwa faini eneo hili.

MYTAKE:
NIMEGUNDUA WATANZANIA WENGI TUNA TATIZO YA SHERIA..KUANZIA WATUNGA SHERIA MPAKA WATUMIAJI. BORA TU ITAFSILIWE KWA KISWAHILI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Traffick Police ni zaidi ya MAJAMBAZI kwa sasa hivi Tanzania. Ni matapeli wa kudhulumu Raia. Tena afadhali hata jambazi linaweza likakuonea huruma na likakusamehe ukilialia sio hao waseng*. Laana za dhuluma wanayofanya ndio inayowatafuna WATAWALA.

Mimi nliwahi kupigwa Fine 30, 000/= Tshs eti kosa nimeweka bag dogo kwenye seat ya abiria, na nlikua peke yangu nasafiri na gari ndogo. Yule K*MAKE eti ananiambia kosa kisheria kuweka hata vitabu kwenye seat ya pembeni!!!

Juzi kanisimamisha Arusha na private car eti akaniomba FIRST AID KIT, nikamuuliza usajili wa hii gari unaonesha ni ambulance au dispensary???? Au ni gari ya abiria (Kibiashara)????
 
"Ukikamatwa na polisi akakwambia bodi la gari ni bovu, maji ya wiper hayatoki, tairi ni vipara, taa za breki haziwaki, mafuta yanavuja, hapo kosa ni moja tu, gari ni bovu na faini ni TZS 30,000, na si sahihi kuwa kila tatizo la gari ni kosa linalojitegemea."- Waziri Kangi Lugola
 
Ila nilichogundua chengine kinachotucost ni kutokujua sheria kwa kuzipatia hizi leseni nyumbani...unakuta unaletewa tu,,na chengine ni mtaji tosha w serikali,
IMG-20190103-WA0075.jpeg


READERS ARE LEADERS
cc
VITABU
 
hawa farasi weupe ndio waliambiwa na jiwe wawe wanachukua buku dala dala za kubrashia viatu, ni jiwe aliwaruhusu maana nguo zao nyeupe wawe wanachukua ya sabuni
 
Traffick Police ni zaidi ya MAJAMBAZI kwa sasa hivi Tanzania. Ni matapeli wa kudhulumu Raia. Tena afadhali hata jambazi linaweza likakuonea huruma na likakusamehe ukilialia sio hao waseng*. Laana za dhuluma wanayofanya ndio inayowatafuna WATAWALA.

Mimi nliwahi kupigwa Fine 30, 000/= Tshs eti kosa nimeweka bag dogo kwenye seat ya abiria, na nlikua peke yangu nasafiri na gari ndogo. Yule K*MAKE eti ananiambia kosa kisheria kuweka hata vitabu kwenye seat ya pembeni!!!

Juzi kanisimamisha Arusha na private car eti akaniomba FIRST AID KIT, nikamuuliza usajili wa hii gari unaonesha ni ambulance au dispensary???? Au ni gari ya abiria (Kibiashara)????
Labda alidhani ni "Mobile Pharmacy"
 
Leo nimepita zangu na kigari changu maeneo ya Kariakoo, atii nipo kule Barabara ya Lung'ombe na sikukuu street mara nikakamatwa na Traffic sijafunga mkanda.

Nikamuuliza haujui kuwa katikati ya mji kama hapa sipaswi kufunga mkanda ili ukitokea moto niweze kujiokoa..etii sheria hiyo umesoma wapi?

Baadae nikamwambia twende kituoni pale Msimbazi tukapate ujuzi zaidi..

Mwishowe akaniambia nenda bhana ila usimwambie mtu maana siku nyingi watu wanapigwa faini eneo hili.

MYTAKE:
NIMEGUNDUA WATANZANIA WENGI TUNA TATIZO YA SHERIA..KUANZIA WATUNGA SHERIA MPAKA WATUMIAJI. BORA TU ITAFSILIWE KWA KISWAHILI

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ni sheria ipi/gani inayosema katikati ya mji hakuna kufunga mkanda??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Madereva wengi ni waoga kupita kiasi kwa sababu hawazijui sheria na wabongo hawapendi kusoma kwa hiyo haki zao hawazitambui. Utakuta dereva akimuona trafic barabarani anaogopa kupitiliza.
 
Leo nimepita zangu na kigari changu maeneo ya Kariakoo, atii nipo kule Barabara ya Lung'ombe na sikukuu street mara nikakamatwa na Traffic sijafunga mkanda.

Nikamuuliza haujui kuwa katikati ya mji kama hapa sipaswi kufunga mkanda ili ukitokea moto niweze kujiokoa..etii sheria hiyo umesoma wapi?

Baadae nikamwambia twende kituoni pale Msimbazi tukapate ujuzi zaidi..

Mwishowe akaniambia nenda bhana ila usimwambie mtu maana siku nyingi watu wanapigwa faini eneo hili.

MYTAKE:
NIMEGUNDUA WATANZANIA WENGI TUNA TATIZO YA SHERIA..KUANZIA WATUNGA SHERIA MPAKA WATUMIAJI. BORA TU ITAFSILIWE KWA KISWAHILI

Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ni tatizo kubwa kwenye nchi hii, na serikali inachangia pakubwa, kwa sababu kwa nchi za wenzetu zilizo endelea na kustaarabika zamani ni jukumu la serikali kuhakikisha watu wote wanakuwa na uelewa mpana wa sheria za nchi ambazo wanatakiwa kuzifuata, badala yake hapa kwetu Utasikia Polisi wanatamka hadharani kwamba kutokujua sheria sio Excuse ya wewe kutokuadhibiwa, unawezaje kumpa mtu adhabu bila kujua kama mtu huyo alikuwa anajua alichokifany ni kosa, wewe una bahati huyo askari alikuona unajua sheria akakuambia uende zako, kawaida ukikutana na askari mshari ukamuonesha unajua, mkipelekana kituo cha polisi anakubadilikia, anakufungulia mashtaka sio kwa kile mlichobishania bali anatafuta kosa jingine ambalo hawezi kulikosa, anaweza hata kudai umemtukana, au umembishia, au ubovu wa gari, Mimi mwenyewe nilikuwa sijui kama mjini hatutakiwi kufunga seat belt, asante kunijuza
 
Trafik wa Iringa wqnabambikia madereva kosa la kusimama Zebra hata kama hamna wanaovuka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye hilo nitakupinga, Sheria inakutaka Usimame kwenye alama ya wavuka kwa miguu bila kujali kama kuna mtu ama la, Tii sheria ndugu yangu mamb mengine yanaepukika, mkienda mahakamani Traffic anakushinda.
 
Leo nimepita zangu na kigari changu maeneo ya Kariakoo, atii nipo kule Barabara ya Lung'ombe na sikukuu street mara nikakamatwa na Traffic sijafunga mkanda.

Nikamuuliza haujui kuwa katikati ya mji kama hapa sipaswi kufunga mkanda ili ukitokea moto niweze kujiokoa..etii sheria hiyo umesoma wapi?

Baadae nikamwambia twende kituoni pale Msimbazi tukapate ujuzi zaidi..

Mwishowe akaniambia nenda bhana ila usimwambie mtu maana siku nyingi watu wanapigwa faini eneo hili.

MYTAKE:
NIMEGUNDUA WATANZANIA WENGI TUNA TATIZO YA SHERIA..KUANZIA WATUNGA SHERIA MPAKA WATUMIAJI. BORA TU ITAFSILIWE KWA KISWAHILI

Sent using Jamii Forums mobile app
N a tusiwalaumu sana hawa traffic, Unajua wametumwa na serikali ya Magufuli kwani nao ni sehemu ya chanzo cha mapato ya serikali, na pia wanakuwa wamewekewa target ya makusanyo kila mwezi na wameahidiwa bonus, the more unavyokusanya mafaini nawe unapata bonus yako mwisho wa mwezi kwenye mshahara wako, kwa hiyo sio wao bali ni serikali tulioiweka madarakani, enzi zile za kikwete mambo yalikuwa rahisi, kwani ulikuwa unaweza kumpa traffic hata shs 2,000 akukuacha ukaenda zako, sasa hivi hata 10,000 hapokei anakuambia wewe lipa faini ya serikali ya serikali 30,000
 
Back
Top Bottom