kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,888
Nilichogundua traffic wengi hawa wa barabarani wana wivu wa kike tu
Unakamatwa tu hovyo hovyo kila siku na kulimwa faini kibao
Mwingine anakukamata anakusimamisha kukuchelewesha tu au kukupotezea tu mda
Wivu huo ni wivu wa magari na roho ya kwanini huyu jamaa anatembelea gari kali au kwanini huyu ana gari wakati mm nina miaka 20 kazini sina hata bodaboda
Wengi wanasumbuliwa na choyo,wivu tu wa kimaendeleo anaangalia alivyochakaa miaka 20 hajanunua hata bodaboda we unapita na range rover sport mpya ya mamilioni au V8 mpyaaa halafu yeye anajisikiaje??
Wengi hawafanyi kanakwamba ni kazi au kakukamata kwa kosa nop wengi tu wanafanya hivyo kwa wivu tu na roho ya kwanini
Unakamatwa tu hovyo hovyo kila siku na kulimwa faini kibao
Mwingine anakukamata anakusimamisha kukuchelewesha tu au kukupotezea tu mda
Wivu huo ni wivu wa magari na roho ya kwanini huyu jamaa anatembelea gari kali au kwanini huyu ana gari wakati mm nina miaka 20 kazini sina hata bodaboda
Wengi wanasumbuliwa na choyo,wivu tu wa kimaendeleo anaangalia alivyochakaa miaka 20 hajanunua hata bodaboda we unapita na range rover sport mpya ya mamilioni au V8 mpyaaa halafu yeye anajisikiaje??
Wengi hawafanyi kanakwamba ni kazi au kakukamata kwa kosa nop wengi tu wanafanya hivyo kwa wivu tu na roho ya kwanini