Nimegundua Sabaya alisingiziwa kama alivyokuwa anasingiziwa Makonda. Kuna nini nyuma ya Pazia?

Kesi ya Sabaya Inakosekanaje mashahidi? Hapa kichwa kinaniuma kwa kujiuliza. Jinsi huyu dogo alivyokuwa anafanya "unyama" (kwa mujibu wa maelezo ya watu.

Nlitegemea mahakamani pangekuwa panajaa mashahidi wengi mpaka wanarudishwa makwao au kesi ingefanyiwa kwenye uwanja wa mpira. "Huyu dogo kaumiza wengi sana, kawatesa na kuwaua"

Hawa watu hawajitokezi kwenda mahakamani kwa nini? Mbowe naye alitendewa unyama na huyu dogo. Je amesamehe? Aende akafungue kesi asiache tu watu watende makosa akasamehe.

Nikakumbuka MAKONDA NAYE ALISINGIZIWA MENGI SANA. Mbona hakuna aliyeenda mfungulia kesi?alihusishwa na shambulizi la Lissu mbona hajashtakiwa? Aliyoyafanya pale clouds je walikubaliana naye?

Wale waliosingiziwa na kuchafuliwa suala la madawa Wakamshtaki aliyewafanyia hivyo. Kwa nini hawaendi mahakamani ili kukomesha tabia hiyo?

Tunataka Haki itendeke. Wote waliokosea wananchi waadhibiwe. Je yaliyosemwa yalikuwa ni fitna za watu? Why mashahidi wakosekane? Angekosekana mmoja leo wale wengine kadhaa si wangetoa ushahidi?


Topic za kijinga tuna mambo muhimu badala ya kuongelea vijana wajinga jinga
 
Kesi ya Sabaya Inakosekanaje mashahidi? Hapa kichwa kinaniuma kwa kujiuliza. Jinsi huyu dogo alivyokuwa anafanya "unyama" (kwa mujibu wa maelezo ya watu.

Nlitegemea mahakamani pangekuwa panajaa mashahidi wengi mpaka wanarudishwa makwao au kesi ingefanyiwa kwenye uwanja wa mpira. "Huyu dogo kaumiza wengi sana, kawatesa na kuwaua"

Hawa watu hawajitokezi kwenda mahakamani kwa nini? Mbowe naye alitendewa unyama na huyu dogo. Je amesamehe? Aende akafungue kesi asiache tu watu watende makosa akasamehe.

Nikakumbuka MAKONDA NAYE ALISINGIZIWA MENGI SANA. Mbona hakuna aliyeenda mfungulia kesi?alihusishwa na shambulizi la Lissu mbona hajashtakiwa? Aliyoyafanya pale clouds je walikubaliana naye?

Wale waliosingiziwa na kuchafuliwa suala la madawa Wakamshtaki aliyewafanyia hivyo. Kwa nini hawaendi mahakamani ili kukomesha tabia hiyo?

Tunataka Haki itendeke. Wote waliokosea wananchi waadhibiwe. Je yaliyosemwa yalikuwa ni fitna za watu? Why mashahidi wakosekane? Angekosekana mmoja leo wale wengine kadhaa si wangetoa ushahidi?
Kinachoendelea kwa sasa ni kuwamaliza marafiki wa Magu waonekane walikuwa hamnazo na wengine wanawachinjilia mbali RIp mfugale
 
Ukiwa na akili utaelewa kwamba upande wa mashtaka wanamnyoosha Sabaya kwasababu kesi itachukua muda mrefu.

Mwendesha mashtaka hakusema Hakuna mashahidi bali mashahidi wana udhuru na kisheria inakubalika, sasa ukizingatia kesi haina dhamana fungua akili uone hapo
 
..Sabaya anashtakiwa na serikali ya ccm, au serikali ya chadema?

..tatizo la sabaya lilikuwa kufanya ujambazi wake waziwazi.

..wenzake walikuwa wanatumia akili kwa kutumia kundi la watu wasiojulikana.

..Sabaya kwa ujinga wake alikuwa anakwenda mwenyewe front na kuonekana mpaka kwenye cctv.
 
Kesi ya Sabaya Inakosekanaje mashahidi? Hapa kichwa kinaniuma kwa kujiuliza. Jinsi huyu dogo alivyokuwa anafanya "unyama" (kwa mujibu wa maelezo ya watu.

Nlitegemea mahakamani pangekuwa panajaa mashahidi wengi mpaka wanarudishwa makwao au kesi ingefanyiwa kwenye uwanja wa mpira. "Huyu dogo kaumiza wengi sana, kawatesa na kuwaua"

Hawa watu hawajitokezi kwenda mahakamani kwa nini? Mbowe naye alitendewa unyama na huyu dogo. Je amesamehe? Aende akafungue kesi asiache tu watu watende makosa akasamehe.

Nikakumbuka MAKONDA NAYE ALISINGIZIWA MENGI SANA. Mbona hakuna aliyeenda mfungulia kesi?alihusishwa na shambulizi la Lissu mbona hajashtakiwa? Aliyoyafanya pale clouds je walikubaliana naye?

Wale waliosingiziwa na kuchafuliwa suala la madawa Wakamshtaki aliyewafanyia hivyo. Kwa nini hawaendi mahakamani ili kukomesha tabia hiyo?

Tunataka Haki itendeke. Wote waliokosea wananchi waadhibiwe. Je yaliyosemwa yalikuwa ni fitna za watu? Why mashahidi wakosekane? Angekosekana mmoja leo wale wengine kadhaa si wangetoa ushahidi?
👆
 
Kesi ya Sabaya Inakosekanaje mashahidi? Hapa kichwa kinaniuma kwa kujiuliza. Jinsi huyu dogo alivyokuwa anafanya "unyama" (kwa mujibu wa maelezo ya watu.

Nlitegemea mahakamani pangekuwa panajaa mashahidi wengi mpaka wanarudishwa makwao au kesi ingefanyiwa kwenye uwanja wa mpira. "Huyu dogo kaumiza wengi sana, kawatesa na kuwaua"

Hawa watu hawajitokezi kwenda mahakamani kwa nini? Mbowe naye alitendewa unyama na huyu dogo. Je amesamehe? Aende akafungue kesi asiache tu watu watende makosa akasamehe.

Nikakumbuka MAKONDA NAYE ALISINGIZIWA MENGI SANA. Mbona hakuna aliyeenda mfungulia kesi?alihusishwa na shambulizi la Lissu mbona hajashtakiwa? Aliyoyafanya pale clouds je walikubaliana naye?

Wale waliosingiziwa na kuchafuliwa suala la madawa Wakamshtaki aliyewafanyia hivyo. Kwa nini hawaendi mahakamani ili kukomesha tabia hiyo?

Tunataka Haki itendeke. Wote waliokosea wananchi waadhibiwe. Je yaliyosemwa yalikuwa ni fitna za watu? Why mashahidi wakosekane? Angekosekana mmoja leo wale wengine kadhaa si wangetoa ushahidi?
Uunganishwe kwenye kesi ili ushahidi wako utimie.
 
Kesi ya Sabaya Inakosekanaje mashahidi? Hapa kichwa kinaniuma kwa kujiuliza. Jinsi huyu dogo alivyokuwa anafanya "unyama" (kwa mujibu wa maelezo ya watu.

Nlitegemea mahakamani pangekuwa panajaa mashahidi wengi mpaka wanarudishwa makwao au kesi ingefanyiwa kwenye uwanja wa mpira. "Huyu dogo kaumiza wengi sana, kawatesa na kuwaua"

Hawa watu hawajitokezi kwenda mahakamani kwa nini? Mbowe naye alitendewa unyama na huyu dogo. Je amesamehe? Aende akafungue kesi asiache tu watu watende makosa akasamehe.

Nikakumbuka MAKONDA NAYE ALISINGIZIWA MENGI SANA. Mbona hakuna aliyeenda mfungulia kesi?alihusishwa na shambulizi la Lissu mbona hajashtakiwa? Aliyoyafanya pale clouds je walikubaliana naye?

Wale waliosingiziwa na kuchafuliwa suala la madawa Wakamshtaki aliyewafanyia hivyo. Kwa nini hawaendi mahakamani ili kukomesha tabia hiyo?

Tunataka Haki itendeke. Wote waliokosea wananchi waadhibiwe. Je yaliyosemwa yalikuwa ni fitna za watu? Why mashahidi wakosekane? Angekosekana mmoja leo wale wengine kadhaa si wangetoa ushahidi?
We unadhani shahidi unajitokeza tu Kama unaenda Taifa kuangalia Mechi? Shahidi kuna utaratibu wake, wakijitokeza hao wote 100 watatoa wote ushahidi siku hiyo hiyo moja?
 
Back
Top Bottom