Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,743
- 14,667
- Thread starter
- #21
Kwahiyo we bwana harusi hujamwelewa kabisa?!Bi harusi... Bwana harusi si anamume wake tayari...!!?
πππππππ
Kwahiyo we bwana harusi hujamwelewa kabisa?!Bi harusi... Bwana harusi si anamume wake tayari...!!?
Pole ya nini sasa?!sawa ila poleeee
Nahisi wapo wa aina hiyo. Ana mke lakini nayeye ni mke wa mwanaume mwenzake.Me kinachonishangaza NI kimoja Tu
Mpaka unaenda kuolewa ina maana ulisha-du na Huyo bwana
Katika ku-du kwao hakujua kuwa ni Bwabwa?!
Au mabwabwa wanaweza changanya kote, Wana TOA huduma Kwa wanawake na wanaume?! π
Nisaidie Kwa Hilo plzππππ
Me kinachonishangaza NI kimoja TuKama unataka laana,endelea kuwa nae,yani huyo ukikutana nae tu siku moja katika yale mamb,tayari unafanya kosa ambalo watakuja kujutia watoto wako.
Ndoroooboe πππNahisi wapo wa aina hiyo. Ana mke lakini nayeye ni mke wa mwanaume mwenzake.
Hahaha ngoja wazowefu waje mimi sijuiNdoroooboe πππ
Sasa ana function vipi Kwa mwanamke
Au ndio wale wanawake wanaolalamika kuwa mwanaume anakula mahindi ya kuchonga ha-function?!
Mimi huwa sinaga mpango na wake za watu...Kwahiyo we bwana harusi hujamwelewa kabisa?!
πππππππ
Naona wamelala Asubuhi watakujaHahaha ngoja wazowefu waje mimi sijui
Jamaa itakua alificha,na kuoa huko ni ile kuendelea kujifunika na pazia laa ndoa asijulikane.Me kinachonishangaza NI kimoja Tu
Mpaka unaenda kuolewa ina maana ulisha-du na Huyo bwanaπ
Katika ku-du kwao hakujua kuwa ni Bwabwa?!
Au mabwabwa wanaweza changanya kote, Wana TOA huduma Kwa wanawake na wanaume?! π
Nisaidie Kwa Hilo plz
Sawa me nakupa namba ya Bwabwa yeye anahitaji msaada zaidiMimi huwa sinaga mpango na wake za watu...
NiPM namba za huyo Bi Harusi mtarajiwa nimsaidie
DohJamaa itakua alificha,na kuoa huko ni ile kuendelea kujifunika na pazia laa ndoa asijulikane.
Huyo dada hakushtuka mapema,bado hajachelewa sana.
Huyo si ana mume wake tayari...nipe namba za Bi harusi plsSawa me nakupa namba ya Bwabwa yeye anahitaji msaada zaidi
Kama ni kweli ulivyo eleza huyo bi harusi mtarajiwa hana cha kupoteza hapo avunje tu hiyo mipango ya ndoa wanaume tupo wengi unaweza ukamshauri pia anicheki ili nimtimizie ndoto yake ya kuolewa na mwanaume rijali na sio shoga kama huyo.We unadhani nataka kugundua nini labda?!
Me nakushauri msaidie Tu bi-harusi Kwa sasa
Ila kama umemwelewa bi harusi we nambie Tu
Kwahiyo wewe hujaoa?!ππππππKama ni kweli ulivyo eleza huyo bi harusi mtarajiwa hana cha kupoteza hapo avunje tu hiyo mipango ya ndoa wanaume tupo wengi unaweza ukamshauri pia anicheki ili nimtimizie ndoto yake ya kuolewa na mwanaume rijali na sio shoga kama huyo.
Kimya unashangaa mtoto wa kike hajielewi elewi,bora mikoani huku kwa wanaume wagumu sura hazieleweki makomando si makomando,wanajeshi si wanajeshi,huyo binti mpe pole,sijui atasingizia nini kwa wazazi wake.Doh
Wanaume WA Dar mtawamaliza mabinti WA watu
Mnataka kuwaua kimya kimya?!πππππ
Wazazi tena?!Kimya unashangaa mtoto wa kike hajielewi elewi,bora mikoani huku kwa wanaume wagumu sura hazieleweki makomando si makomando,wanajeshi si wanajeshi,huyo binti mpe pole,sijui atasingizia nini kwa wazazi wake.
Hata mgambo sijawahi pita,tatizo lake na yeye hakumuona kama huyo mwanaume kajilegeza legeza.Wazazi tena?!
Kwan wazazi ndio wanaenda kuolewa?!
Ana babati kuna Corona ningekwambia achukue mahari aliotolewa aingie Madagascar hapo akapumzike
Kwahiyo wewe NI mjeda?!
Bado mwambie aje tuyajengeKwahiyo wewe hujaoa?!