Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,758
- 14,687
- Thread starter
- #401
we unaonaje?Ushajiridhisha shoga bado wataka ushauri wa nin
we unaonaje?Ushajiridhisha shoga bado wataka ushauri wa nin
wewe ndio muoaji au?Vp mdogo wenu alikubali kuolewa mke wa pili? Maana hapo hapakuwa na mme labda kama ni kusagana tu ndan vingnevyo angehailisha kila mipango ilokuwepo had pale mme wake atakapokuja
hutaki cha ku-share na wenzio?Jana, nilisheherekea siku ya kuzaliwa ya Baba yangu Mzazi, tukaalika ndugu, jamaa na familia wa karibu kuja kumpongeza Mzee wetu
Katika kupika pika kule jikoni Akina mama sie, msichana mmoja akafunguka Kwa machozi mengi tukabakia na mshangao kwasababu NI Bibi harusi mtarajiwa,
Bibi Harusi: jamani Mimi nazidi kuchanganyikiwa mwenzenu, najua nimevishwa Pete j2 iliopita lakini juzi amenifuata Mesenja ofisini, akaniambia saini hapa nikasaini akaondoka..
Kufungua na kuangalia nakuta picha za mchumba wangu, anafanya Mapenzi na mwanaume mwenzake, tena anachekeleeea kabisa.
Nilitapika pale pale, sikula siku 3 nimelia Sana, sijamwuliza mpaka sasa mchumbangu, akipiga simu naongea nae kama hamna kitu, akitaka tuonane namkwepa namwambia corona mpaka leo Birthday ya Babu, nimeona nisipoongea ntakufa🤧🤕🤒
Nifanyaje?! Mume wangu mtarajiwa NI Bwabwa(shoga)?!
Akatoa picha kwenye pochi akaziweka mbele yetu tukahakikisha kabisa.🏃🏃🏃
Doh kweli bwana! MKWE NI Bwabwa, tena anatulizwa na jamaa amejazia kweli kweli kama wale ma bouncer wa kwenye makumbi ya starehe kama disco💪
jamani mpeni ushauri biharusi mtarajiwa, akae au atembee 🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Mungu hapendi sharinghutaki cha ku-share na wenzio?
Me ni either team KATAA NDOA au muda haujafika bosswewe ndio muoaji au?
Me ni either team KATAA NDOA au muda haujafika bosswewe ndio muoaji au?
mh!Me ni either team KATAA NDOA au muda haujafika boss
Haina namna ikibidimh!
kukataa ndoa pia ni dhambi
sawa, baadae basi me natoka humuHaina namna ikibidi
Will be waiting for Usawa, baadae basi me natoka humu
sauwaWill be waiting for U