Nilivyoona matangazo kwenye blogs, face book na tweeter nilihisi kweli tuna watu wanaoweza kutusaidia kuleta mapinduzi hapa tanzania kwani wako nghambo amabapo democrasia imeshamiri ukilinganisha na hapa tz, Kumbe sio kabisa, wale ndo wasaliti tena sana kwani hakuna kilichofanywa na hawa jamaa zaidi ya kuwa sehemu ya wahujum uchumi kwa kuhongwa na matapeli wa anzania wanaojiita viongozi!tumeyasikia ila mjue mtarudi tu nyumbani ni nyumbani!lamda mjitahidi kuficha cv zenu na namna yoyote inayoweza kuwabaini! siku yenu ipo na mjue sisi ndo viongozi wa kesho! worry not na haya mambo ya kuongwa mkasaliti taifa yana mwisho!i am done!