my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,017
- 2,384
Wakati wa sala kawaida tunafunga macho ili kuweka u serious na unyenyekevu katika maombi ili Mungu aweze kupokea maombi yetu. Kama ilivyo watu wakiwa wana sex au ku Kiss wanavyofumba macho. Kwa ufupi ku sex ni ibada so ukiifanya fanya ki unyenyekevu ili uweze kupata swawabu. Ikiwezekana ukiwa una sex Omba kabisa maombi yako ule muda maombi yanakubaliwa haraka sana kuliko mnavyo zani.