Wandugu mko salama salimini?
Nimegundua marafiki tulio nao wengi ni marafiki pale tu kila kitu kikiwa ok yaani mnakunywa na kula navstori etc ila pata dharura ambayo inahitaji support yao yaani utashangaa!!
Siku hazifanani, kuna siku unaamka huna cash ya kutosha , labda hela iko kwenye mzunguko na unajua kabisa in say three days you will be as liquid as usual. Sasa mara paap simu inakuja mama mzazi au mtoto kaumwa ghafla, you need some money.
Aise utashangaa yaani hata laki tu kuipata inakuwa ishu kweli kweli wakati hao hao ukiwa nazo unawapiga maround kibao ya bia wanakenua tu!!
Yaani bora kumbe mtu mda wote uassume you are all alone!! Kuwa na marafiki lukuki kumbe haina tija ni kuchoma tu hela. Likikukuta la kukukuta ni wewe kama wewe!! Mbaya zaidi kati ya hayo majamaa unakuta yalishakupiga mizinga mara kibao hata husiti kuyapa ila inatokea una shida genuine kabisa kila limoja linadai haliko fiti kabisa shenz type!!
Nimegundua marafiki tulio nao wengi ni marafiki pale tu kila kitu kikiwa ok yaani mnakunywa na kula navstori etc ila pata dharura ambayo inahitaji support yao yaani utashangaa!!
Siku hazifanani, kuna siku unaamka huna cash ya kutosha , labda hela iko kwenye mzunguko na unajua kabisa in say three days you will be as liquid as usual. Sasa mara paap simu inakuja mama mzazi au mtoto kaumwa ghafla, you need some money.
Aise utashangaa yaani hata laki tu kuipata inakuwa ishu kweli kweli wakati hao hao ukiwa nazo unawapiga maround kibao ya bia wanakenua tu!!
Yaani bora kumbe mtu mda wote uassume you are all alone!! Kuwa na marafiki lukuki kumbe haina tija ni kuchoma tu hela. Likikukuta la kukukuta ni wewe kama wewe!! Mbaya zaidi kati ya hayo majamaa unakuta yalishakupiga mizinga mara kibao hata husiti kuyapa ila inatokea una shida genuine kabisa kila limoja linadai haliko fiti kabisa shenz type!!