Nitawapa mfano;
Maeneo mengi sana siku hizi yamefungwa kamera!
Tembelea MALL zote hukosi idadi kubwa ya kamera!
Lakini ajabu, Pamoja na wingi wa kamera lakini bado ripoti za wizi na udokozi zinaendelea pasipo watuhumiwa kupatikana!
Mazingira ya matukio mengi yanayoripotiwa ukiangalia video (footage) zake zilivyo! Mwizi anaonekana anaingia mchana kweupe bila hata mask usoni lakini hajulikani kwa sura kamwe!
Wanachokifanya wezi kuanzia inje ya jengo, wanatembea wameinama kichwa chini bila kunyanyua kichwa, anaingia ndani katazama chini tu mwanzo mwisho, anatembea huku na kule kichwa chini, kama ni MALL anachukua SIMU, LAPTOP N.K Anaondoka na camera inamsindikiza hadi anatokomea!
Kwahiyo footage ya namna hii inachoambulia ni kumulika rangi za nguo tu! Sasa utamjuaje! Mtu katoka mbali wenye nguo kama zake wapo kibao! Kutambua ni vigumu mno.
Hivyo nadhani kuna umhimu wa kufunga pia CCTV CAMERA ZA CHINI CHINI (sakafuni) ili zimulike kwenda juu kama zipo!!
Maeneo mengi sana siku hizi yamefungwa kamera!
Tembelea MALL zote hukosi idadi kubwa ya kamera!
Lakini ajabu, Pamoja na wingi wa kamera lakini bado ripoti za wizi na udokozi zinaendelea pasipo watuhumiwa kupatikana!
Mazingira ya matukio mengi yanayoripotiwa ukiangalia video (footage) zake zilivyo! Mwizi anaonekana anaingia mchana kweupe bila hata mask usoni lakini hajulikani kwa sura kamwe!
Wanachokifanya wezi kuanzia inje ya jengo, wanatembea wameinama kichwa chini bila kunyanyua kichwa, anaingia ndani katazama chini tu mwanzo mwisho, anatembea huku na kule kichwa chini, kama ni MALL anachukua SIMU, LAPTOP N.K Anaondoka na camera inamsindikiza hadi anatokomea!
Kwahiyo footage ya namna hii inachoambulia ni kumulika rangi za nguo tu! Sasa utamjuaje! Mtu katoka mbali wenye nguo kama zake wapo kibao! Kutambua ni vigumu mno.
Hivyo nadhani kuna umhimu wa kufunga pia CCTV CAMERA ZA CHINI CHINI (sakafuni) ili zimulike kwenda juu kama zipo!!