Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rejea post #23 utapata majibuUsipochanja utaumia zaidi we pachane kiasi tu damu itoke then pakaa dawa ulizoambiwa....ama nyanya iliyoiva
We ni ke au me?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu binafsi nakuelewa mno humu kuna wabishi madundu achana naoAsante aisee,hapa nimegundua kuna watu wanakejeli kumbe hata Nge huwa wanamuona tu kwenye picha au Tv,wanahisi sisi tunaongea upumbavu,jamani Nge akikugonga panauma sana,the pains is real,labda sijui kama kuna aina tofauti ya Nge na tofauti ya sumu,ila aliyenigonga mimi ni balaa,maumivu yake ni makali mno,tangu jana lakini hadi saiv bado nasikia pakiuma hata kama nina nafuu lkn bado pana maumivu ingawa ya leo ni ya kawaida..
🤔Nimesikitishwa sana na uzi huu..
Nimewai kung'atwa na Nnge zaidi ya mara saba.Kifupi kuna vijimaumivu vya kawaida tu.Mwanaume yeyote unaweza vumilia.Sasa sion tija wa kufungulia uzi Labda kama uligongwa na nyoka no sawa...
WANAUME TUJIKAZE
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesikitishwa sana na uzi huu..
Nimewai kung'atwa na Nnge zaidi ya mara saba.Kifupi kuna vijimaumivu vya kawaida tu.Mwanaume yeyote unaweza vumilia.Sasa sion tija wa kufungulia uzi Labda kama uligongwa na nyoka no sawa...
WANAUME TUJIKAZE
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama nilikuwa mbali na huduma za hospital je?
mbona unahukumu bila kujua mazingira yangu?
be fair,pia sio kila kila kitu lazima mtu uchangie...
Umetumia njia ipi kati ya zote zilizotajwa humu.....Mkuu mimi ni mwanaume rijali/shababi ila haibadilishi kuwa maumivu ni makali,ila leo nasikia maumivu kwa mbaali..jana ilikuwa ni siku mbaya sana kwangu,asante kwa wote mlionicheka na mliotoa ushauri...kifupi naendelea vizuri,and am final back to normal...
Asante dahh haya maumivu ni extra-ordinary,hivi hawa wanawake wetu laini laini akigongwa kwa haya maumivu ninayoyahisi na ugangwe wangu,hawa viumbe si ndio watazimia kabisa na kwenda hospital kulazwa?tukumbushane kukung`uta viatu wazee,maana mimi nimekutana nae kwenye kiatu..
Huyu mgonjwa ni bangi sanaKwa haya maumivu kiukweli siwezi kupachanja tena,panauma sana..mimi naulizia kama kuna pain killer inaweza kunisaidia,kuchanja hapana,sehemu inayouma hata kuishika siwezi,nge ni hatari wakuu kwa haya maumivu hata yule wa kisarawe akiamua kunitunuku bure kabisa muda huu,siwezi kumfanya chochote,tabaki namtazama tu!
DuuhSikutumia yeyote,palipona penyewe baada ya masaa 24..