Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 20,269
- 50,060
Mkuu mimi ni mwanaume rijali/shababi ila haibadilishi kuwa maumivu ni makali,ila leo nasikia maumivu kwa mbaali..jana ilikuwa ni siku mbaya sana kwangu,asante kwa wote mlionicheka na mliotoa ushauri...kifupi naendelea vizuri,and am final back to normal...Usipochanja utaumia zaidi we pachane kiasi tu damu itoke then pakaa dawa ulizoambiwa....ama nyanya iliyoiva
We ni ke au me?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuuMkuu mimi ni mwanaume rijali/shababi ila haibadilishi kuwa maumivu ni makali,ila leo nasikia maumivu kwa mbaali..jana ilikuwa ni siku mbaya sana kwangu,asante kwa wote mlionicheka na mliotoa ushauri...kifupi naendelea vizuri,and am final back to normal...
Nilivyo muoga siku akining'ata naweza pata uchizi kwa muda..Mkuu ng'e sio kila mtu akimjeruhi ana maumivu nae wengine hawasikii hata maumivu kabisa mimi ng'e akinigusa tu kwanza napoteza netiweki kwa masaa baadae maumivu yake siwezi kuelezea.
Ningeenda kanisani nikaombewe ningeajua nimerogwaNakumbuka niliwahi kuwatembelea ndugu mkoa aisee nikajihisi kama kuna kitu kinatembea kichwani kuweka mkono uwiiiii mdudu kanigonga siku hiyo nililia mno nimewekwa dawa bado, siku ya pili nimevaa nguo tena kwenye paja niliapa sitoludi tena toka siku hiyo sikuwahi kuludi.
Naomba asije kukuotea yule mdudu maumivu yake hayapoi siku hiyohiyo hata ukiweka dawa ukiwa Mjamzito kuna uwezekano mkubwa kufa.
Yani ujauzito unatoka kwa kung'atwa na huyo mdudu??Yawezekana mlikutana na walio katika kutaga.....maumivu yake ni komesha usipopata huduma mapema, sehemu ulipogongwa inakuwa nyeusi tii na kama u mjamzito basi inatoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilizimia kwa masaa, Mungu aniepushie kwa kweli.
Yes na ukiwa ujauzito wa kuumwa hakuishi ni tatizo
Yesu wangu.. Mungu aniepushie ninavyoogopa waduduNaomba asije kukuotea yule mdudu maumivu yake hayapoi siku hiyohiyo hata ukiweka dawa ukiwa Mjamzito kuna uwezekano mkubwa kufa.
Khaaah.. uoga umeongezeka zaidi na zaidiMimi nilizimia kwa masaa, Mungu aniepushie kwa kweli.
Uzuri wa hao wadudu kuna watu sumu yake haipandi,Sister aliwahi kugongwa ng'e mkubwa mno cha ajabu hakuhisi maumivu.
Haimi, mpaka una wassaa wa kuandika. UmeponaWakuu nimegongwa na nge,wataalamu naomba mnisaidie tiba,natakiwa nifanyaje,maumivu ni makali sana na hadi saiv ishapita nusu saa bado sielewi natakiwa nifanyaje,msaada wenu tafadhali...
Siku yako itafika,nahisi sieleweki na unahisi kuwa mimi legelege,ila kifupi yule nge alonigonga ilikuwa ni balaa,sijawahi ku`expirience maumivu makali kama yale,kikubwa nasisitiza kuwa siku yako itafika and then utanielewa ninachokimaanisha..Nimesikitishwa sana na uzi huu..
Nimewai kung'atwa na Nnge zaidi ya mara saba.Kifupi kuna vijimaumivu vya kawaida tu.Mwanaume yeyote unaweza vumilia.Sasa sion tija wa kufungulia uzi Labda kama uligongwa na nyoka no sawa...
WANAUME TUJIKAZE
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante aisee,hapa nimegundua kuna watu wanakejeli kumbe hata Nge huwa wanamuona tu kwenye picha au Tv,wanahisi sisi tunaongea upumbavu,jamani Nge akikugonga panauma sana,the pains is real,labda sijui kama kuna aina tofauti ya Nge na tofauti ya sumu,ila aliyenigonga mimi ni balaa,maumivu yake ni makali mno,tangu jana lakini hadi saiv bado nasikia pakiuma hata kama nina nafuu lkn bado pana maumivu ingawa ya leo ni ya kawaida..Pole sana mkuu