Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante dahh haya maumivu ni extra-ordinary,hivi hawa wanawake wetu laini laini akigongwa kwa haya maumivu ninayoyahisi na ugangwe wangu,hawa viumbe si ndio watazimia kabisa na kwenda hospital kulazwa?tukumbushane kukung`uta viatu wazee,maana mimi nimekutana nae kwenye kiatu..Chukua wembe Chana hapo alipo kujeruhi kisha Chukua njiti ya kibiriti kwangua baruti weka baada ya masaa mimi huwa natumia njia hii pole sana mkuu
Inaonekana ww ni mzoefu wa kugongwa na nngeChukua wembe Chana hapo alipo kujeruhi kisha Chukua njiti ya kibiriti kwangua baruti weka baada ya masaa mimi huwa natumia njia hii pole sana mkuu
Mkuu ng'e sio kila mtu akimjeruhi ana maumivu nae wengine hawasikii hata maumivu kabisa mimi ng'e akinigusa tu kwanza napoteza netiweki kwa masaa baadae maumivu yake siwezi kuelezea.Asante dahh haya maumivu ni extra-ordinary,hivi hawa wanawake wetu laini laini akigongwa kwa haya maumivu ninayoyahisi na ugangwe wangu,hawa viumbe si ndio watazimia kabisa na kwenda hospital kulazwa?tukumbushane kukung`uta viatu wazee,maana mimi nimekutana nae kwenye kiatu..
😄😄Sio mkuu hao wadudu nina mkosi nao sana.
Meza vidonge sita vya Vitamin C fasta. Meza vingie vitatu jioni, na kesho asubuhi vitatu. Endelea kumeza mpaka utakapopona.Wakuu nimegongwa na nge,wataalamu naomba mnisaidie tiba,natakiwa nifanyaje,maumivu ni makali sana na hadi saiv ishapita nusu saa bado sielewi natakiwa nifanyaje,msaada wenu tafadhali...
Toba...
Nakumbuka niliwahi kuwatembelea ndugu mkoa aisee nikajihisi kama kuna kitu kinatembea kichwani kuweka mkono uwiiiii mdudu kanigonga siku hiyo nililia mno nimewekwa dawa bado, siku ya pili nimevaa nguo tena kwenye paja niliapa sitoludi tena toka siku hiyo sikuwahi kuludi.uwii..alishawahi nigonga,jmn hakuna rangi niliacha ona ile siku..pole mkuu i can feel you pain
pole sana na haka kamdudu kakishatimiza lengo lake kanatembea kwa spidi ya htr😔😔Nakumbuka niliwahi kuwatembelea ndugu mkoa aisee nikajihisi kama kuna kitu kinatembea kichwani kuweka mkono uwiiiii mdudu kanigonga siku hiyo nililia mno nimewekwa dawa bado, siku ya pili nimevaa nguo tena kwenye paja niliapa sitoludi tena toka siku hiyo sikuwahi kuludi.
Hao wadudu hata awe mbali na mimi nikimuona tu namuuwa.pole sana na haka kamdudu kakishatimiza lengo lake kanatembea kwa spidi ya htr😔😔
kile kitendo cha kuchukua dekio tu,huyooo kanidaka kidole..uwii
Nilijikaza kufanya kazi zangu zote ..ila muda ulivyozidi kwnd mkono ukaanza kufa ganzi na mishipa km inavuta vuta..
Bad enough kifua kikawa kama kinajaa,mara kinabana,kumbe ni sumu inazidi kusambaa..Mpk ilipofika saa 5 jion ndio nikaenda duka la dawa,hapo nimeshalia mpk basi
Asante dahh haya maumivu ni extra-ordinary,hivi hawa wanawake wetu laini laini akigongwa kwa haya maumivu ninayoyahisi na ugangwe wangu,hawa viumbe si ndio watazimia kabisa na kwenda hospital kulazwa?tukumbushane kukung`uta viatu wazee,maana mimi nimekutana nae kwenye kiatu..
Yes.Mbona mimi niligongwa lkn sikwenda hospital lkn cha moto nilikiona.
Wengine wanadai unamkamata huyo nge unamchoma halafu majivu yake unapaka pale kwenye jeraha baada ya kuchanja.
Sent using Jamii Forums mobile app
uwii..alishawahi nigonga,jmn hakuna rangi niliacha ona ile siku..pole mkuu i can feel you pain
maumivu juu ya maumivuHaha pole sana mwenyewe alishawahi kunigonga mbaya zaidi nilikuwa naumwa siku hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app