Nimegombana na mke wangu akaniambia nina sura kama Zamadam. Je, anamaanisha nini?

Mkuu ukita kuenjoy kuishi na mwanamke mpuuzie tu wala usingombana naye akileta vita (maneno maneno) wala usimjibu kaa kimya mwache utajiona mjinga ukiendelea kumjibu lazima utampiha wewe kunja zako uso tu kuwa serious endelea na mambo mengi wala usimjali mwanamke kwa mdomo na maneno ndio kazi yao hiyo ukimjibu na kumsikiliza anachosema (mkijibozano sana lazima mpigane tu ) wanawake ni kuwaacha tu ukichokabisa akiona haeleweki mwache tu hama kaanze maisha yako ukikomaa naye sana unaweza kumua tu

Mwanamke maneno hayaishi hayaishi na ndio silaha yao hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Picha ya zamadamu ipo wapi
Tuanzie hapo?


Sent using Jamii Forums mobile app
Screenshot_20200112-103242.png
 

Similar Discussions

20 Reactions
Reply
Back
Top Bottom