simiss
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 2,100
- 6,167
Nimecheka aseee zamadamu si kipindi cha wanadamu wa kale TBC. Sijui kama kipo daahhh Super Villain sijakuona mtaa huu brother
Achana nae na Uchukulie poa. Bado Anasumbuliwa na pepo chafu la Wivu.Jana usiku NIMEGOMBANA NA MKE WANGU AKANIAMBIA NINA sura Kama ZAMADAM je huyo ZAMADAM ninani ? Amenitukana Sana au nidharau nichukulie poa?
Kama ndio hawa basi kanitukana I never knew this so I look like zinjanthropus africanus ok we weren't joking it was a serious chaotic situation.
Jana usiku NIMEGOMBANA NA MKE WANGU AKANIAMBIA NINA sura Kama ZAMADAM je huyo ZAMADAM ninani ? Amenitukana Sana au nidharau nichukulie poa?
Ingesaidia sana kama ungetuwekea picha tuone kama unafanana na apes tujue si tusi ni kweli, lakini pia kama hufanani nao sio tusi pia ni utani, kwa kifupi “SI TUSI”
Mkuu ukita kuenjoy kuishi na mwanamke mpuuzie tu wala usingombana naye akileta vita (maneno maneno) wala usimjibu kaa kimya mwache utajiona mjinga ukiendelea kumjibu lazima utampiha wewe kunja zako uso tu kuwa serious endelea na mambo mengi wala usimjali mwanamke kwa mdomo na maneno ndio kazi yao hiyo ukimjibu na kumsikiliza anachosema (mkijibozano sana lazima mpigane tu ) wanawake ni kuwaacha tu ukichokabisa akiona haeleweki mwache tu hama kaanze maisha yako ukikomaa naye sana unaweza kumua tu
Mwanamke maneno hayaishi hayaishi na ndio silaha yao hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Jana usiku NIMEGOMBANA NA MKE WANGU AKANIAMBIA NINA sura Kama ZAMADAM je huyo ZAMADAM ninani ? Amenitukana Sana au nidharau nichukulie poa?
Ahaha..Ukiambiwa unasura kama mistari ya kontua nayo utakuja kuuliza huku
Tena bora nimekuona huku mkuu ulizingua sana ulivyobagua swali langu
Sent using Jamii Forums mobile app
umechukua hatua gani baada ya kukutukana?Jana usiku NIMEGOMBANA NA MKE WANGU AKANIAMBIA NINA sura Kama ZAMADAM je huyo ZAMADAM ninani ? Amenitukana Sana au nidharau nichukulie poa?
Zamadam bana Melanny sio zamaradi,....Hapo alimaanisha kwamba wanaume wenzio wanakukula.
Maana zamaradi si mama jujuh.