Nakapanya
JF-Expert Member
- May 22, 2012
- 2,096
- 708
Simba leo wamenifanya nifurahi kwa kumfunga Yanga wazeew wa mpira wa magazetini.Kiburi chote leo yanga kimewaisha.
Ila msimamo wangu upo palepale kuwa nitarudi kuishabikia Simba pale Rage atakapoondoka Simba,haya matokeo ya leo yasiwarudishe nyuma wana Simba wakasahau agenda yetu ya kumng'oa Rage pale Msimbazi
Ila msimamo wangu upo palepale kuwa nitarudi kuishabikia Simba pale Rage atakapoondoka Simba,haya matokeo ya leo yasiwarudishe nyuma wana Simba wakasahau agenda yetu ya kumng'oa Rage pale Msimbazi