😂😂 duuhnilimtongoza akaniambia kausha mwana
hahahhahaanilimtongoza akaniambia kausha mwana
Sasa kama niko Knowledgeable, Educated, well Informed na nina Exposure kidogo ya kuwa katika Mataifa kadhaa na 24/7 nazungukwa na Watu very Intelligent huku pia nikiwa nimelelewa na Kukulia kwa some Head of States na Senior Officials wa East, South and Central Africa kwanini GENTAMYCINE nisiwe Mjuvi wa Masuala na Mambo mengi hapa Tanzania, nje ya Tanzania na hata Duniani?Ni summarizes kwa kusema We jamaa unapenda sifa