Lipia tutionKwaiyo hapo kwenye story ulitaka aweke l?au hapo kwenye ilo lingine la mwishoni
Lipia tutionKwaiyo hapo kwenye story ulitaka aweke l?au hapo kwenye ilo lingine la mwishoni
Huwa nasifu michango yako iliyokomaaMkuu usidanganywe na wale wanaotamba elimu sio kitu. Hao hao wapo busy na wakali sana inapotokea watoto wao kukataa shule ili wafanye biashara maana wanafahamu umuhimu wa elimu katika biashara zao
Huwa nasifu michango yako iliyokomaa
Asante mkuu
Tunasubiri goli zetu za jana mkuu.
Tayari nimeziweka
Form tu unamuita mkuu??Shule au chuo.????? Ukute ni Form 2 saaa unajijairi vipi mkuu???
Kwamba ni dogoooForm tu unamuita mkuu??
Tunasubir Uzi wako utakaovunja rekord mkuu🤣Kwamba ni dogooo
Rudi shule kasome.Baada ya kutokea mistake ndogo hatimaye nimefukuzwa shule, msaada wa mawazo ushauri , ajira yeyote ntafanya kwasabu sna mtaji wa kujiajili, thanks
Huoni matusi na dharau zimezidi, wengi wenye busara wamekaa pembeni au wamekuwa wasomaji tuJf tunaishi na watoto bila kujijua humu ndani
Subiri mwezi wa 8 uombe diploma ukapige shule, ushukuru kwa kufukuzwa shule maana umerahisishiwa maishaWakuu nilikuwa 'A' level form 5
mtoto wa shule umo jamii forum, unafanya nini humuBaada ya kutokea mistake ndogo hatimaye nimefukuzwa shule, msaada wa mawazo ushauri, ajira yeyote ntafanya kwasabu sina mtaji wa kujiajiri.
Thanks