Habari za wakati huu Wana JF.
Kwa majina naitwa David Mathias. Nilikuja Dodoma kutafuta maisha kutokea jijini Dar na nikafikia kwa rafiki yangu niliesoma nae chuo kimoja ambaye anaishi Nkuhungu. Rafiki yangu ameleta mwanamke ghafla na kuniambia kuwa anataka aishi nae kwahiyo mimi niondoke.
Hapa nipo barabarani tu begi langu sina pa kwenda na mimi huku mgeni. Naomba kwa mwenyeji yeyote wa Dodoma atakayeguswa kunisaidia hifadhi kwa siku kadhaa nikitafuta nauli ya kurudi nyumbani. Naomba sana na natanguliza shukurani.
Kwa majina naitwa David Mathias. Nilikuja Dodoma kutafuta maisha kutokea jijini Dar na nikafikia kwa rafiki yangu niliesoma nae chuo kimoja ambaye anaishi Nkuhungu. Rafiki yangu ameleta mwanamke ghafla na kuniambia kuwa anataka aishi nae kwahiyo mimi niondoke.
Hapa nipo barabarani tu begi langu sina pa kwenda na mimi huku mgeni. Naomba kwa mwenyeji yeyote wa Dodoma atakayeguswa kunisaidia hifadhi kwa siku kadhaa nikitafuta nauli ya kurudi nyumbani. Naomba sana na natanguliza shukurani.