zethumb
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 610
- 137
jamaa aliajiriwa (mkataba wa muda fulani) baada ya miezi miwili akiwa bado probation akaachishwa kazi, je kisheria anazo haki zozote? ukizingatia sheria ya kazi 2004 kifungu cha 35 kina waondoa wafanyakazi walio chini ya miezi sita kupata chochote kuhusiana na unfair termination?