wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,794
Ok mtani ila marehemu inaonyesha njaa ilimuua
Ni umbwa hiyo sio punda...
Jr
Ni umbwa hiyo sio punda...
Jr
Ok mtani ila marehemu inaonyesha njaa ilimuua
Meno hayahaya yanayokunywa coca na pepsi labda uzungumzie meno ya watu wa zamani maana mtu yupo mzima kila siku ni kung'oa meno ha ha utegemee libaki akifa
... Duu inaelekea unanifahamu vizuri
Jr
Kuna daktari aliniambia kwamba mfupa mgumu zaidi katika mwili wa binadamu ni MENO.Mifupa inaweza kaa hata miaka 80, kinachokaa zaidi bila kuhariibika ni meno.