Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,415
- 30,925
Huyu mbwa wetu aliitwa Popi alikufa mwaka 1980 January 22 nimefukua mahali alimozikwa leo baada ya miaka 40 nimemkuta kalala vilevile ila ni mifupa yake.
Pumzika kwa amani Popi.
Sisi Kama familia tulikupenda Sana Mjomba Gaspa alikuwa ametoka vitani Uganda alikuwepo wakati tunakuzika Mjomba Gaspa alilia machozi machozi ya vita machozi ya kijeshi popi the great.
Kwa kukuheshimu mfupa wako nimeupamba sebuleni kwangu.
Pumzika kwa amani Popi.
Sisi Kama familia tulikupenda Sana Mjomba Gaspa alikuwa ametoka vitani Uganda alikuwepo wakati tunakuzika Mjomba Gaspa alilia machozi machozi ya vita machozi ya kijeshi popi the great.
Kwa kukuheshimu mfupa wako nimeupamba sebuleni kwangu.