spika,pole sana kwa masahibu yaliyokukuta.
Hakika una wakati mgumu katika kipindi hiki cha msiba wa mwanao mpendwa.tumuombe mungu akupe moyo na ujasiri wa kukabiliana na hali hii.lakini pia tumuombee marehemu aweze kupokelewa vema mbinguni kwa pumziko lake la milele,
amen!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.