Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,501
- 6,200
Pole sana kiongozi,ni mapenzi ya Mwenyezi Mungu.
pumziko la milele bwana ampatie na mwanga wa milele umuangazie!Wakuu nimefiwa na mama yangu mzazi aliyekuwa mgonjwa wa kitandani(bedridden) kwa muda wa mwaka na nusu.