TANZIA Nimefiwa na baba yangu mzazi

Habari wana JF ni matumaini yangu mu wazima, nimekuwa kimya kwa muda kidogo kwasababu za kimaisha lakini zaidi kumuuguza baba.

Hatimae Mungu ameamua kumpumzisha, mazishi yatafanyika leo, "Singida"

Natamani niseme sana ila nadhani nimeona nifupishe walau hata mtapoona nipo kimya muelewe napita ktk kipindi gani.

Nawapenda na Mungu Awabariki.
pole sana mkuu
 
Pole sana mkuu..inauma sana kufiwa na mtu uliyempenda na kumzoea

 
Habari wana JF ni matumaini yangu mu wazima, nimekuwa kimya kwa muda kidogo kwasababu za kimaisha lakini zaidi kumuuguza baba.

Hatimae Mungu ameamua kumpumzisha, mazishi yatafanyika leo, "Singida"

Natamani niseme sana ila nadhani nimeona nifupishe walau hata mtapoona nipo kimya muelewe napita ktk kipindi gani.

Nawapenda na Mungu Awabariki.
Singida sehemu gani tuje kutoa daraja?
 
Boss, kwa mila na tamaduni zetu, hua tunaweka kando tofauti na mambo mengine pindi mwenzetu anapofikwa na jambo linalohitaji faraja.

Najua usivyoweza kuvumilia nonsense ila punguza kidogo munkar mkuu. Mwacheni amalize hili lililomfika, mambo mengine yanaweza kusubiri.

Nilicheka ulivyoelezea unavyoenda na gia zote mtu akitaka kukuletea mchezo, tozo unatoa kweli wewe?
 
Habari wana JF ni matumaini yangu mu wazima, nimekuwa kimya kwa muda kidogo kwasababu za kimaisha lakini zaidi kumuuguza baba.

Hatimae Mungu ameamua kumpumzisha, mazishi yatafanyika leo, "Singida"

Natamani niseme sana ila nadhani nimeona nifupishe walau hata mtapoona nipo kimya muelewe napita ktk kipindi gani.

Nawapenda na Mungu Awabariki.

Pole sana master entrepreneur
 
P
Habari wana JF ni matumaini yangu mu wazima, nimekuwa kimya kwa muda kidogo kwasababu za kimaisha lakini zaidi kumuuguza baba.

Hatimae Mungu ameamua kumpumzisha, mazishi yatafanyika leo, "Singida"

Natamani niseme sana ila nadhani nimeona nifupishe walau hata mtapoona nipo kimya muelewe napita ktk kipindi gani.

Nawapenda na Mungu Awabariki.
Pole sana kaka
Mungu akutie nguvu.

Baba Apumzike kwa amani.
 
Pole sana mkuu, Mungu akufanyie wepesi katika kipindi hiki kigumu na familia kwa ujumla.
 
Back
Top Bottom