jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 19,091
- 35,895
Wewe itakua kiongozi wa chama cha kijani sio bure.Mkuu, kwa hoja kama hizi, mimi kwa upande wangu naona kama vile wodi za Hospitali ya Mirembe zinakuhusu. Si bure ulipata madhara ya kiakili pale ulipokuwa kolokoloni kwa muda wa miaka mitatu.
Hizo stori za kumbukumbu za malinda zinaonyesha kuna tatizo sehemu fulani. Nakushauri nenda kapate tiba za magonjwa ya kiakili kwanza kabla ujafanya jambo lingine baya ambalo linaweza kuangamiza maisha yako.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app