Nimefikia uamuzi wa kuchanachana vyeti vyangu vyote vya Kitaaluma baada ya kuona sifaidiki na elimu niliyosoma

Mkuu, kwa hoja kama hizi, mimi kwa upande wangu naona kama vile wodi za Hospitali ya Mirembe zinakuhusu. Si bure ulipata madhara ya kiakili pale ulipokuwa kolokoloni kwa muda wa miaka mitatu.

Hizo stori za kumbukumbu za malinda zinaonyesha kuna tatizo sehemu fulani. Nakushauri nenda kapate tiba za magonjwa ya kiakili kwanza kabla ujafanya jambo lingine baya ambalo linaweza kuangamiza maisha yako.
Wewe itakua kiongozi wa chama cha kijani sio bure.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe itakua kiongozi wa chama cha kijani sio bure.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, kuwa kiongozi wa chama chetu pendwa cha "veggies" mbona ni ujiko. Tuna ridhaa ya kula mema yote ya nchi peke yetu.

Vyombo vya dola ni vyetu, bunge ni letu, mahakama ipo chini ya kidole chetu, fuko la hazina lipo chini ya mamlaka yetu, deni la taifa ni lenu na pia tumejimilikisha viwanja vingi vya mpira, majengo, nyumba na maeneo mbalimbali hapa nchini.

Kama hiyo haitoshi tumezuia vyama vingine visifanye shughuli zao za kisiasa ili tuinyooshe nchi na hatimaye kuufungua uchumi wa nchi, tuna ridhaa ya wananchi kwa ushindi wa zaidi ya 99% kwa chaguzi za mwaka 2019 na 2020. Mola wetu tunayemtumikia atupe nini cha ziada!?
 
Salaamj Wana JF.

Naitwa DJ. DON NALIMISON Ni Mtanzania mwenye asili ya Kimarekani. Yaani baba Mzazi ni raia wa Marekani na mama Mzazi ni raia wa Tanzania. Nimezaliwa 28.06.1980 wilayani Kahama , SHINYANGA, Tanzania.

Nimefikia uamuzi wa kuchanachana vyeti vyangu vyote vya Kitaaluma baada ya kuona sifaidiki na elimu niliyosoma, zaidi Ni kuwekewa vikwazo vya kuwa maskini na serikali ya Tanzania.

Vyeti nilivyochana Ni pamoja na Elimu ya msingi(Kahama Primary school-1996) kwa jina la utotoni MASHAKA KISANDU. Vyeti vya Elimu ya Sekondari(Kishimba Sekondari-iv, Kahama 2002). Cheti Cha Uandishi wa habari(Royal college of Journalism-2003). Vyeti vya Advanced Sekondari (Tabora Sekondari-Private Candidate-2007 na Kahama sekondari-2008), Cheti za induction course(Chuo Cha ualimu Tabora-2007). Cheti Cha degree ya kwanza Cha Chuo Kikuu Cha Sebastian Kolowa(SEKUCO/SEKOMU)-2012. Vyeti vya vyuo vya Utunzaji wa kumbukumbu. Hivi vyote nilisoma kwa jina Langu la zamani la DEOGRATIUS PIO KISANDU kabla sijaapa nakuwa DEOGRATIUS NALIMI KISANDU. Na haya yote yamefanyika baada ya kuapa na kuwa DON NALIMISON kwa mujibu wa Sheria.

Hivyo Sasa sihitaji Ajira ya Serikali Wala Ajira kwenye makampuni. Serikali ilinifunga jela miaka mitatu 2018-2020 kuonesha elimu yangu haifai. Hivyo nimechana vyeti vyote na kubadili jina jumla Maisha yangu yote na sitasikiliza ushauri wa Majeshi yote Wala ushauri wa Serikali. Nachotaka nikutimiza ndoto zangu kwa jina Langu DJ. DON NALIMISON nasivinginevyo.

Tanzania Ni Nchi chafu Sana, kuanzia viongozi mpaka Majeshi. Wananchi wanapata kiburi Cha kufanya unyama kwangu kupitia Majeshi. Sitaki kupewa jina lolote na serikali maana Ni na uelewa wa kutosha kuliko vigogo wa serikali wasio kuwa na lolote kwangu.

Leo nimenyimwa kitambulisho Cha Taifa kwa jina Langu la DON NALIMISON eti mpaka nioe TAKATAKA za Serikali na CCM.

Nawatakia Maisha mema wote mnaotegemea vyeti vya taaluma ili muwe na Maisha mazuri maana Mimi Vyeti havijanisaidia.

Wenu,
DJ. DON NALIMISON
View attachment 2009076
Huo ni u genious, kila la heri mkuu.
 
Leo ndo ninaamini ule msemo kuwa kichaa huwa anawaona watu wazima ndo vichaa zaidi yake Yan kwa kifupi atakae jaribu kukushauri we utamuona kapagawa

ila bange nayo ina misingi yake ya kuvutwa kama unaivutia kwenye jua kali lazima ikuvuruge hivyo zingatia matumizi sahihi ya mmea
Huwa nachukia sana bange kuchafuliwa as a course of insanity, wakati si kweli.
Ganja is beautiful, sijawahi kujilaumu kuvuta bange
 
Huwa nachukia sana bange kuchafuliwa as a course of insanity, wakati si kweli.
Ganja is beautiful, sijawahi kujilaumu kuvuta bange
Ulicho kiandika na ulicho ki-quote haviendan bange huiwezi tuachie wenyewe mmea wetu nyie ndo mnasababisha mmea udhalilishwe
 
Salaamj Wana JF.

Naitwa DJ. DON NALIMISON Ni Mtanzania mwenye asili ya Kimarekani. Yaani baba Mzazi ni raia wa Marekani na mama Mzazi ni raia wa Tanzania. Nimezaliwa 28.06.1980 wilayani Kahama , SHINYANGA, Tanzania.

Nimefikia uamuzi wa kuchanachana vyeti vyangu vyote vya Kitaaluma baada ya kuona sifaidiki na elimu niliyosoma, zaidi Ni kuwekewa vikwazo vya kuwa maskini na serikali ya Tanzania.

Vyeti nilivyochana Ni pamoja na Elimu ya msingi(Kahama Primary school-1996) kwa jina la utotoni MASHAKA KISANDU. Vyeti vya Elimu ya Sekondari(Kishimba Sekondari-iv, Kahama 2002). Cheti Cha Uandishi wa habari(Royal college of Journalism-2003). Vyeti vya Advanced Sekondari (Tabora Sekondari-Private Candidate-2007 na Kahama sekondari-2008), Cheti za induction course(Chuo Cha ualimu Tabora-2007). Cheti Cha degree ya kwanza Cha Chuo Kikuu Cha Sebastian Kolowa(SEKUCO/SEKOMU)-2012. Vyeti vya vyuo vya Utunzaji wa kumbukumbu. Hivi vyote nilisoma kwa jina Langu la zamani la DEOGRATIUS PIO KISANDU kabla sijaapa nakuwa DEOGRATIUS NALIMI KISANDU. Na haya yote yamefanyika baada ya kuapa na kuwa DON NALIMISON kwa mujibu wa Sheria.

Hivyo Sasa sihitaji Ajira ya Serikali Wala Ajira kwenye makampuni. Serikali ilinifunga jela miaka mitatu 2018-2020 kuonesha elimu yangu haifai. Hivyo nimechana vyeti vyote na kubadili jina jumla Maisha yangu yote na sitasikiliza ushauri wa Majeshi yote Wala ushauri wa Serikali. Nachotaka nikutimiza ndoto zangu kwa jina Langu DJ. DON NALIMISON nasivinginevyo.

Tanzania Ni Nchi chafu Sana, kuanzia viongozi mpaka Majeshi. Wananchi wanapata kiburi Cha kufanya unyama kwangu kupitia Majeshi. Sitaki kupewa jina lolote na serikali maana Ni na uelewa wa kutosha kuliko vigogo wa serikali wasio kuwa na lolote kwangu.

Leo nimenyimwa kitambulisho Cha Taifa kwa jina Langu la DON NALIMISON eti mpaka nioe TAKATAKA za Serikali na CCM.

Nawatakia Maisha mema wote mnaotegemea vyeti vya taaluma ili muwe na Maisha mazuri maana Mimi Vyeti havijanisaidia.

Wenu,
DJ. DON NALIMISON
View attachment 2009076
Rudi kwenu Marekani
 
Salaamj Wana JF.

Naitwa DJ. DON NALIMISON Ni Mtanzania mwenye asili ya Kimarekani. Yaani baba Mzazi ni raia wa Marekani na mama Mzazi ni raia wa Tanzania. Nimezaliwa 28.06.1980 wilayani Kahama , SHINYANGA, Tanzania.

Nimefikia uamuzi wa kuchanachana vyeti vyangu vyote vya Kitaaluma baada ya kuona sifaidiki na elimu niliyosoma, zaidi Ni kuwekewa vikwazo vya kuwa maskini na serikali ya Tanzania.

Vyeti nilivyochana Ni pamoja na Elimu ya msingi(Kahama Primary school-1996) kwa jina la utotoni MASHAKA KISANDU. Vyeti vya Elimu ya Sekondari(Kishimba Sekondari-iv, Kahama 2002). Cheti Cha Uandishi wa habari(Royal college of Journalism-2003). Vyeti vya Advanced Sekondari (Tabora Sekondari-Private Candidate-2007 na Kahama sekondari-2008), Cheti za induction course(Chuo Cha ualimu Tabora-2007). Cheti Cha degree ya kwanza Cha Chuo Kikuu Cha Sebastian Kolowa(SEKUCO/SEKOMU)-2012. Vyeti vya vyuo vya Utunzaji wa kumbukumbu. Hivi vyote nilisoma kwa jina Langu la zamani la DEOGRATIUS PIO KISANDU kabla sijaapa nakuwa DEOGRATIUS NALIMI KISANDU. Na haya yote yamefanyika baada ya kuapa na kuwa DON NALIMISON kwa mujibu wa Sheria.

Hivyo Sasa sihitaji Ajira ya Serikali Wala Ajira kwenye makampuni. Serikali ilinifunga jela miaka mitatu 2018-2020 kuonesha elimu yangu haifai. Hivyo nimechana vyeti vyote na kubadili jina jumla Maisha yangu yote na sitasikiliza ushauri wa Majeshi yote Wala ushauri wa Serikali. Nachotaka nikutimiza ndoto zangu kwa jina Langu DJ. DON NALIMISON nasivinginevyo.

Tanzania Ni Nchi chafu Sana, kuanzia viongozi mpaka Majeshi. Wananchi wanapata kiburi Cha kufanya unyama kwangu kupitia Majeshi. Sitaki kupewa jina lolote na serikali maana Ni na uelewa wa kutosha kuliko vigogo wa serikali wasio kuwa na lolote kwangu.

Leo nimenyimwa kitambulisho Cha Taifa kwa jina Langu la DON NALIMISON eti mpaka nioe TAKATAKA za Serikali na CCM.

Nawatakia Maisha mema wote mnaotegemea vyeti vya taaluma ili muwe na Maisha mazuri maana Mimi Vyeti havijanisaidia.

Wenu,
DJ. DON NALIMISON
View attachment 2009076
Kumbe na wamarekani wana watoto wenye akili hizi ?...🙄🙄
 
Vuta picha unapoambiwa eti ujiajiri wakati huna mtaji, bodi ya mikopo ikikudai fedha za ufadhili, una familia na ndugu wakikutegemea na cheti hakikupi majibu ya matatizo unayoyapitia! Na ajira hamna! ndipo unapoona miaka zaidi ya 15 ulioitumia kwenda chuo ni hasara tupu! I feel for you Brother!!!
Suluhisho ndio kuchana vyeti ?
 
Bold Decision !!!! Don't forget to BURN all the certificates (This will give you a peace of mind !!!)
 
Mlio karibu na DJ Nalimison mfungeni kamba miguuni ikishindikana fungeni kamba hata makalio yake.
Ubongo wake umepata hitilafu kubwa sana,msipofanya hivyo atakuwa shoga milele yote.
Kabisa ila mimi huwa naamini kabisa huyu mwamba kuna sehemu hayupo sawa hasa kichwani kuna kila dalili ya ka ukichaa flani ukimfwatilia kwa kina
 
Elimu umeunga sana. Sijaona Umarekani wako umelisaidia nn taifa na wewe mwenyewe
 
Back
Top Bottom