J33
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 1,552
- 1,505
Nimefikia lengo wakuu!!
Tangu nakua nilikuwa na malengo ya kuwa na watoto wanne kila mmoja akiwa na mama yake.
Lengo limefikia na hata kupita maana sasa kuna watoto watatu na mimba mbili nimeona njia sahihi ya kuzuia kuendelea kupata watoto zaidi ni mimi kufunga kizazi.
Nahitaji namna sahihi ya kufanya ivyo bila kuadhiri uwezo wangu wa kusex na nguvu za kiume nipo tayari kulipa gharama yeyote kwenye hospital yeyote hapa Afrika Mashariki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tangu nakua nilikuwa na malengo ya kuwa na watoto wanne kila mmoja akiwa na mama yake.
Lengo limefikia na hata kupita maana sasa kuna watoto watatu na mimba mbili nimeona njia sahihi ya kuzuia kuendelea kupata watoto zaidi ni mimi kufunga kizazi.
Nahitaji namna sahihi ya kufanya ivyo bila kuadhiri uwezo wangu wa kusex na nguvu za kiume nipo tayari kulipa gharama yeyote kwenye hospital yeyote hapa Afrika Mashariki.
Sent using Jamii Forums mobile app