Nimefika Kagera (Muleba) kutafuta maisha kwa mara ya kwanza, naombeni msaada

Jul 4, 2022
29
29
Habari za asubuhi great thinkers!

Jana usiku nimeingia mkoa wa Kagera kwa mara ya kwanza kabisa na kufikia Wilaya ya Muleba. Huku mimi sina mwenyeji ila natarajia ninyi great thinkers wa JF kuwa wenyeji wangu.

Nimeamua kuja huku baada ya kupitia msoto mkali sana wa maisha kipindi cha corona kuanzia 2020. Umri wangu miaka 30 na ujuzi nilionao ni kuongoza watalii (tour guiding).

Kiuchumi kwakweli siko vizuri, hivyo basi naweza kusema kuwa nahitaji connection ya kazi yoyote itakayoniwezesha either kutumia ujuzi nilionao au kutumia nguvu angalau niweze kupata chochote kitu.

Kwa wanaJF mlioko huku Kagera naombeni mnipe support katika jambo hili. Ikiwa mapema zaidi itafaa zaidi this is urgent.
 
Habari za asubuhi great thinkers!

Jana usiku nimeingia mkoa wa Kagera kwa mara ya kwanza kabisa na kufikia Wilaya ya Muleba. Huku mimi sina mwenyeji ila natarajia ninyi great thinkers wa JF kuwa wenyeji wangu.

Nimeamua kuja huku baada ya kupitia msoto mkali sana wa maisha kipindi cha corona kuanzia 2020. Umri wangu miaka 30 na ujuzi nilionao ni kuongoza watalii (tour guiding).

Kiuchumi kwakweli siko vizuri, hivyo basi naweza kusema kuwa nahitaji connection ya kazi yoyote itakayoniwezesha either kutumia ujuzi nilionao au kutumia nguvu angalau niweze kupata chochote kitu.

Kwa wanaJF mlioko huku Kagera naombeni mnipe support katika jambo hili. Ikiwa mapema zaidi itafaa zaidi this is urgent.
Kuna wakati inabidi nicheke tu kama mazuri vile.😀😀

Center ya watu wa kanda ya ziwa ni Mwanza na siyo Kagera, anyway sijui umetokea wapi lakini kwangu ni kituko kwenda kutafuta maisha wilayani tena wilaya za pembeni kabisa ya nchi.

Sehemu hizo unakwenda only if kuna mchongo umepata huko na mtaji unao then unakwenda kama muwekezaji au mfanyabiashara.

Mambo mengine haya huitaji degree kuyaelewa.
 
Habari za asubuhi great thinkers!

Jana usiku nimeingia mkoa wa Kagera kwa mara ya kwanza kabisa na kufikia Wilaya ya Muleba. Huku mimi sina mwenyeji ila natarajia ninyi great thinkers wa JF kuwa wenyeji wangu.

Nimeamua kuja huku baada ya kupitia msoto mkali sana wa maisha kipindi cha corona kuanzia 2020. Umri wangu miaka 30 na ujuzi nilionao ni kuongoza watalii (tour guiding).

Kiuchumi kwakweli siko vizuri, hivyo basi naweza kusema kuwa nahitaji connection ya kazi yoyote itakayoniwezesha either kutumia ujuzi nilionao au kutumia nguvu angalau niweze kupata chochote kitu.

Kwa wanaJF mlioko huku Kagera naombeni mnipe support katika jambo hili. Ikiwa mapema zaidi itafaa zaidi this is urgent.
Tour guide unakimbia Arusha wakati nchi unaambiwa imefunguka huko?
 
Tour guide unakimbia Arusha wakati nchi unaambiwa imefunguka huko?
Porojo tu hizo imefunguka aliyefunga nchi ni nani?
Any way kijana yupo tayari kwa kazi hata za nguvu nje ya taaluma yake ya guiding,msaidieni mlioko huko.
Pia eleweni vijana wengi wamesoma guiding hivyo kupata kazi sio kitu rahisi kwani wenye kampuni nyingi za utalii huajiri ndugu zao halikadhalika watu wenye uzoefu.
Kila la heri mleta mada ila huku ukiendelea kutafuta kazi usiache kuangalia na fursa za kuopoa binti wa kihaya.
 
Asante kwa maoni yako ndugu Matola. Bilashaka maeneo ya huku pia kuna fursa zake hata kwa sisi ambao siyo wawekezaji. Natumaini wenyeji wa huku watasaidia kutoa muongozo
 
Habari za asubuhi great thinkers!

Jana usiku nimeingia mkoa wa Kagera kwa mara ya kwanza kabisa na kufikia Wilaya ya Muleba. Huku mimi sina mwenyeji ila natarajia ninyi great thinkers wa JF kuwa wenyeji wangu.

Nimeamua kuja huku baada ya kupitia msoto mkali sana wa maisha kipindi cha corona kuanzia 2020. Umri wangu miaka 30 na ujuzi nilionao ni kuongoza watalii (tour guiding).

Kiuchumi kwakweli siko vizuri, hivyo basi naweza kusema kuwa nahitaji connection ya kazi yoyote itakayoniwezesha either kutumia ujuzi nilionao au kutumia nguvu angalau niweze kupata chochote kitu.

Kwa wanaJF mlioko huku Kagera naombeni mnipe support katika jambo hili. Ikiwa mapema zaidi itafaa zaidi this is urgent.
Kwa huko ulikoenda naona kama vile umelazimishwa na mdada mzuri wa kihaya na si kwa hiyari yako.
 
Ingia ziwani kusaidia ishu za uvuvi, au nenda kwa wasukuma huko kyamiolwa ukachunge cow na kupanda mpunga msimu ndo huo unawadia.

Mleba kwa kaz za nguv kibao sana.

Kwa totoz hawana gharama, ukiwa na buku 2 tu unamwagia ndan tena migombani tu.
Mkuu, nyegera muleba.
 
Kwa kuzingatia ushauri nilioupata kutoka kwa baadhi ya wadau hapa jf na wenyeji nilikutana nao huku Muleba nimepata machaguo matatu mpaka sasa.
Chaguo la kwanza ni kwenda wilaya ya Kyerwa ambapo naweza kupata kazi za utalii. Lakini, baadhi ya wenyeji wameniambia kuwa huko Kyerwa ni mbali na gharama ya kufikapo na angalau kukaa kwa siku mbili tatu ni kubwa. Na endapo nikikosa connection za utalii itakuwa changamoto kupata kazi nyingine kwani wilaya hiyo ni mpya na haijachangamka kiivyo.
Chaguo la pili wakanishauri niende wilaya ya Karagwe kwenye mji unaitwa Omrushaka. Wamesema mji huu uko vizuri na una fursa nyingi kuliko Muleba na Kyerwa. Changamoto yake ni kwamba gharama za kufikapo na kukaa angalau siku mbili tatu ni kubwa kulinganisha na hali yangu ya kiuchumi kwa sasa.
Chaguo la tatu ni kwenda Bukoba mjini ambapo ni mkoani na kuna watu wengi. Binafsi nimeamua kwenda Bukoba mjini na hivi sasa niko njiani naendapo.
Kwa great thinkers wote mliopo Bukoba mjini naombeni support yenu tafadhali!
 
Habari za asubuhi great thinkers!

Jana usiku nimeingia mkoa wa Kagera kwa mara ya kwanza kabisa na kufikia Wilaya ya Muleba. Huku mimi sina mwenyeji ila natarajia ninyi great thinkers wa JF kuwa wenyeji wangu.

Nimeamua kuja huku baada ya kupitia msoto mkali sana wa maisha kipindi cha corona kuanzia 2020. Umri wangu miaka 30 na ujuzi nilionao ni kuongoza watalii (tour guiding).

Kiuchumi kwakweli siko vizuri, hivyo basi naweza kusema kuwa nahitaji connection ya kazi yoyote itakayoniwezesha either kutumia ujuzi nilionao au kutumia nguvu angalau niweze kupata chochote kitu.

Kwa wanaJF mlioko huku Kagera naombeni mnipe support katika jambo hili. Ikiwa mapema zaidi itafaa zaidi this is urgent.
Karibu sana...

Hebu nenda kwenye maeneo ya uvuvi mfano magarini, kagoma, kaboya au kwenye visiwa vya ziwani...

Nunua dagaa na samaki wakaange au waanike kisha uza mikoani
 
Asante ndugu Istanbul kwa ushauri wako. Kwa sasa nimeshafika Bukoba mjini, na asubuhi hii nimefika hapa Nyamkazi. Kuhusu dagaa sasa hivi hawapatikani wavuvi wameacha kuvua sababu ya mbalamwezi. Licha ya hivyo, kwakweli kiuchumi siko vizuri na siwezi kununua hata samaki angalau mpaka pale nitakapopata kazi nifanye nipate kianzio.
 
Habari zenu tena wakuu!
Bado nipo kwenye harakati za kutafuta kazi hapa Bukoba. Changamoto mpya niliyokutananayo kwa wenyeji wa hapa ni kwamba, ili wanipe kazi ni lazima niwe na mwenyeji wanayemfahamu. Nimewaeleza kuhusu utambulisho wangu na kuwaonesha kitambulisho cha uraia cha nida lakini bado wanataka tu niwe na mwenyeji wanaemfahamu. Hivyo basi narudi tena kwenu wenyeji wa Bukoba mlioko humu jamiiforums. Naombeni support yenu tafadhali!
 
Kuna wakati inabidi nicheke tu kama mazuri vile.

Center ya watu wa kanda ya ziwa ni Mwanza na siyo Kagera, anyway sijui umetokea wapi lakini kwangu ni kituko kwenda kutafuta maisha wilayani tena wilaya za pembeni kabisa ya nchi.

Sehemu hizo unakwenda only if kuna mchongo umepata huko na mtaji unao then unakwenda kama muwekezaji au mfanyabiashara.

Mambo mengine haya huitaji degree kuyaelewa.
Acha mambo yako wewe!?? Aliekuambia maisha unafanikiwa center nani????

Mwache akajaribu bahati yake bhn mbina wengi tunakutana nao huku pembeni mwa nchi na wameyabutua maisha kisawasawa
 
Back
Top Bottom