Nimefedheheka sana siku ya jana

kuna kitu inaitwa erector 50 akikupa appointiment meza kidonge ki1 dkk.30 kabla ya game itakuongezea kujiamini
 
Naimagine umesimama nje uchi dah sjui ni Mungu kweli alikusaidia au ni vile kutoka nje unaning'iniza.....

Nilitoka Mungu mwnyw aone kbs kuwa mashine imeleta hitilafu hamna mwingine ninayemtegemea zaidi yake.

Ukiwa kwako hata siku moja hujawahi kutoka nje nyonyo wazi?
 
Habari zenu wadau: niende kwenye mada.

Jana ilikuwa siku maalumu kwangu baada ya kuahidiwa papuchi kwa muda mrefu kidogo, lakini nasikitika kilichonitokea sijawahi kukiona, kifupi nilikuwa na binti mmoja hivi ambae nilimfukuzia kwa miaka kama miwili hivi,,,basi siku ya Jumatano tulipeana promise kwamba jana tukutane lodge fulani hapa mjini,,, mambo yalikuwa hivi,,,, baada ya kuingia room nilianza kumpapasa hapa na pale lakini dushe halisimami nikajiuliza tatizo nini, ofcourse demu ni mkali sana, nilishindwa kung'amua tatizo ni nini, baada ya kama nusu saa hali ilirejea kawaida, nilivyoingiza kichwa cha dushe tu nikahisi kama wazungu wanakuja, kwa hofu ya kuabika nikachomoa fasta, lakini wapi wazungu walifika bila hodi, nilipata wasiwasi sana, yule binti angenionaje ukizingatia gharama niliotumia ni kubwa mpaka kumpata, ongezea na ya kulipia lodge kiukweli nilijutia kuwa na yule demu maeneo yale, kwa sauti ya upole nilisikia demu akiniuliza baby mbona huingizi kwan umekuaje ? Nilishindwa nimjibuje nikaishia kujisonya sonya tu, niliamua kumwambia tu samahan baby naomba tutafanya siku nyingne leo naumwa.

Ushauri wenu wapendwa hili litakuwa tatizo gani au ni kawaida?
Noma!
 
Habari zenu wadau: niende kwenye mada.

Jana ilikuwa siku maalumu kwangu baada ya kuahidiwa papuchi kwa muda mrefu kidogo, lakini nasikitika kilichonitokea sijawahi kukiona, kifupi nilikuwa na binti mmoja hivi ambae nilimfukuzia kwa miaka kama miwili hivi,,,basi siku ya Jumatano tulipeana promise kwamba jana tukutane lodge fulani hapa mjini,,, mambo yalikuwa hivi,,,, baada ya kuingia room nilianza kumpapasa hapa na pale lakini dushe halisimami nikajiuliza tatizo nini, ofcourse demu ni mkali sana, nilishindwa kung'amua tatizo ni nini, baada ya kama nusu saa hali ilirejea kawaida, nilivyoingiza kichwa cha dushe tu nikahisi kama wazungu wanakuja, kwa hofu ya kuabika nikachomoa fasta, lakini wapi wazungu walifika bila hodi, nilipata wasiwasi sana, yule binti angenionaje ukizingatia gharama niliotumia ni kubwa mpaka kumpata, ongezea na ya kulipia lodge kiukweli nilijutia kuwa na yule demu maeneo yale, kwa sauti ya upole nilisikia demu akiniuliza baby mbona huingizi kwan umekuaje ? Nilishindwa nimjibuje nikaishia kujisonya sonya tu, niliamua kumwambia tu samahan baby naomba tutafanya siku nyingne leo naumwa.

Ushauri wenu wapendwa hili litakuwa tatizo gani au ni kawaida?
Msongo ulikuwa unakuandama, wewe badala ya kupiga kazi wewe unawaza gharama! Hatari sana. Siku nyingine ubebe na vumbi
 
Pole sana mkuu!! Usifadhaike saña kwani tatzo hili linawakumba wengi!!!
Hali hii huwa ni tatzo la kisaikolojia na kwakweli ukifuatilia kwa undani utaon kwamba asilimia kubwa ya matatizo ya nguvu za kiume ni ya kisaikolojia!!

Kulingana na ulivyoeleza hapa ulikuwa umempamia hivyo mwili ambao unatakiwa uwe na mzunguko wa damu haukuwa relaxed... Hvyo ikasabbaisha uwe na panic. Na kilichosababsha panic ni kushndwa kuamini kwamba hatimaye umempata ambaye hukumtegemea hvyo ukawa unatumia muda mwingi kuwaza na kiakili hukuwa na imani so uwezo Wa kufikiri hapa ulikuwa chini postvely kwani ulikuw kama uko ndotoni!!

Kingine kilichosababisha hali hyo ni kukosa confidence!! Yaani ulikuw ukidhani kwqmba kumpata ww si halali au size yako matokeo yake ukawa ña hofia kwamba anaweza akakugeuka mda wowote. Akuambie bhana mie nawahi sehemu kwanza nmekuhurumia tu so kutokana na kufikiria kwako hvyo ukajikuta mishipa ya damu kuelekea ikulu ikashindwa kufanya kazi ña ile ya ubongo Wa mbele na kuna mda forebrain ilikuw inakuwa activé ila ikulu pakawa panasinyaa!!!

Cha mwisho ni stress... Demu wako huyó ulikubliana nae ukiwa ktk hali ya mawazo ambayo ww peke yake unayajua... Next time relax. Jiamni. Usikurupuke kupanda mlima KABLA hujaangalia kimo au urefu Wa mlima,,, mwandae haswa... Zungumza nae kw muda ili umzoee. Then ujikaze kuruhusu mawazo yatakayokufanya ushndwe,,,, kamwe jitahd usiwaze yaliyotokea,,,,,ashumu uko activé na unammdu na mweleze ukweli kwqmba siku hyo ulikuw unawqza saña na anza kumwambia mapema ili asje akakuuliza maswali yatakayokufanya usijaribu hata kusimamisha kabsa...kama,, baby naona naleo ni ya le yale ya siku ile!!!! Hutasimama kamwe ukimuruhusu akawa na maswali Haya... Cheza nae sasa na asjue kwamba ww uko ina ctive
Akiaanza kuwaza yaliyotokea siku hii hata kwa mwaname mwingine atasjindwa kutojiamini ni ugonjwa mkubwa I na mbaya sana kwetu sisi wanaume amini unaweza na utamfrahisha hii inamtokea kila mtu ila dawa ni kutoruhusu kijidharau kwa namna yoyote ile.
 
Akiaanza kuwaza yaliyotokea siku hii hata kwa mwaname mwingine atasjindwa kutojiamini ni ugonjwa mkubwa I na mbaya sana kwetu sisi wanaume amini unaweza na utamfrahisha hii inamtokea kila mtu ila dawa ni kutoruhusu kijidharau kwa namna yoyote ile.
Nkweeli mkuu!!!. Rekebisha pale kwenye mwaname najua ulitaka kumanisha mwanamke
 
Hamna buanaa,.ww ulikamia sana shoo chifuu,
Ila sheria hata kama ni mm naweza kikamia we mtu inamfukuzia miaka kadhaa inadhani utani ukimpata huamini kama unaota vile sema hapo amgetulia tu wazungu wakatoka na dem akaona ila akajitetea kuwa hajagonga kwa mda mrefu so kitendo cha leo kuingiza kichwa wazi tu wazungu hao naa akaenda kuoga baada ya kama dakika 10 au 20 angekuwa poa na angepiga show matata hata roundi 2 au 3 zingine unajua ukikaa sku nyingi bila kuduu genye zinakuwa nyingi hata hisia pia ndio maana mi nikapa dem wa nje ili nimfaidi napiga show kwa mke wangu harafu ndo nakutana na mchepuko basi kwa kuwa genye zinakuwa hamna napiga show mpaka dem anaenda kuhadidhia wenzie nikipiga gori 2 kila gori nusuu saa hapa lazima heshima iwepo.
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom