Wadau wa jf,nilikamatwa na askari wa kituo cha osterbay nikiwa coco beach jumatatu ya tar 23 nikiwa na mpenzi wangu,wakatupeleka kituo cha oysterbay nakatubambika kesi ya kufanya mapenz ufukweni,kitu ambacho si cha kweli na kutulazimisha tutoe elfu 50,mpenz wangu kwa kuogopa alitoa kiasi hicho ambacho hakikua chake na tukaachiwa,nilifanikiwa kuchukua namba zao na ninataka niwaanike hadharani nitatumia njia gani angalau niweke hadharani ili askari wengine wenye tabia kama hiyo waache na mimi niridhike