Nimefanya mapenzi na Mwanamke wa JF!

Status
Not open for further replies.
mmmh..ndoto yako imesababisha mtarimbo usimame na mwisho kulala ghafla
 
Pole NN...

Lakini... wakati unafanya mapenzi na demu wa Jeiefu, huyu Jeiefu mwenyewe alikuwa wapi??
 
Sabalkheri wana JF wenzangu. Natumaini wote mlikuwa na wikiendi njema kabisa na mmeamka Jumatatu hii wenye nishati nyingi za kutosha kuweza kuendeleza libeneke la kusukuma gurudumu la maendeleo la hii nchi yetu pendwa.

Baada ya takribani miaka minne na nusu hatimaye Jumamosi hii iliyopita nilishawishiwa kutoka na kwenda kiwanja kujirusha. Kwa zaidi ya miaka mitano mimi na kujirusha hatujawa beneti kihivyo. Lakini wikiendi hii nimevunja huo mwiko.

Basi bana sisteri mmoja wa hapa JF akanipigia simu ile Jumamosi jioni akinitaka tukutane New Maisha club (sijui ndio inavyoitwa hivyo...wenye kujua saidieni). Nikasita kidogo kwani kama nilivyosema mimi kujirusha sio zangu kabisa. Lakini kwa ajili yake nikakubali.

Nikajipiga sopusopu na baada ya hapo nikaingia kwenye mchuma huyo nikaenda kumpitia. Nikamkuta naye kajikwatua kwelikweli...naona hakutaka mchezo siku hiyo. Akaingia kwenye mkebe nami nikapiga moto chini. Nadhani allipenda cologne niliyokuwa nimepakaa maana usiku mzima hakuacha kunipa compliments....'mmm jamani Ngabu unanukia vizuri...umepakaa nini?'....'Aaah nimepakaa Cartier Roadster Sport exclusive kutoka Nieman Marcus'....akasema kwa mshangao 'wee Ngabu sikuwezi...yaani hata cologne unanunulia Nieman Marcus!!'

Kuifupisha hadithi ndefu, tukaingia zetu hapo Maisha. Tukajirusha....vinywaji vya hapa na pale...yeye ni mpenzi wa Long island iced tea na mimi mtu wa bia tu. Basi tukafurahia usiku wetu halafu tukaondoka. Alikuwa kachoka na hakutaka nimrudishe kwake. Basi tukaenda wote kwangu.

Tukafika nyumbani tukaenda moja kwa moja chumbani. Tukachojoa mavazi tukapanda kitandani. Mara mwenzangu akaniambia anasikia baridi....mwanamume nikajua leo hapa kitu na boksi. Basi nikaanza kumtomasa tomasa hapo na jambo moja likapelekea jambo jingine na hatimaye nikajikuta niko juu ya kiuno chake na kilichofuatia baada ya hapo tumia imagination yako.

Shughuli ikawa ndio imeanza kukolea sasa. Mazee nilikuwa nagusa engo zote...kaskazini, kusini, mangharibi (sio magharibi), mashariki, kaskazini mangharibi, kusini mashariki...yaaani wewe acha tu. Mashine yake ilikuwa bomba sijapata kuona. Inavyoelekea ilikuwa haijapenyezwa kwa muda maana kitu kilikuwa taiti.

Sasa wakati karibia nafikia kilele mara ghafla bin vuuu nikaamka toka usingizini bana. Baada ya kutahamaki nikagundua kumbe nilikuwa ndotoni bana....aisee niliudhika sana na nikabaki kufyonya na kutukana. Yaani yale maraha yote kumbe nilikuwa naota bana...aaah basi hata kulala sikuweza tena. Ikabidi niamke tu nianze kuangalia tivii na ku-browse JF.

Hiyo ndio ilikuwa ndoto yangu ya usiku wa Jumamosi kuamkia Jumapili. Narudi zangu kwenye maboksi na tutaonana tena mwezi Oktoba nitakaporudi kutumia haki yangu ya kikatiba siku ya 31 mwezi huo.

Nilikuwa tayari nataka nikuandikie NN kwamba this is too low Mkuu ya nini kuja kumtangaza mdada wa watu hapa jukwaani? Kumbe ni ndoto tu hahahahahaha haya bwana na ndoto zako za JF. Have a great day.

YouTube - ‪1990-Klymaxx Good Love‬‎

 
Sabalkheri wana JF wenzangu. Natumaini wote mlikuwa na wikiendi njema kabisa na mmeamka Jumatatu hii wenye nishati nyingi za kutosha kuweza kuendeleza libeneke la kusukuma gurudumu la maendeleo la hii nchi yetu pendwa.

Baada ya takribani miaka minne na nusu hatimaye Jumamosi hii iliyopita nilishawishiwa kutoka na kwenda kiwanja kujirusha. Kwa zaidi ya miaka mitano mimi na kujirusha hatujawa beneti kihivyo. Lakini wikiendi hii nimevunja huo mwiko.

Basi bana sisteri mmoja wa hapa JF akanipigia simu ile Jumamosi jioni akinitaka tukutane New Maisha club (sijui ndio inavyoitwa hivyo...wenye kujua saidieni). Nikasita kidogo kwani kama nilivyosema mimi kujirusha sio zangu kabisa. Lakini kwa ajili yake nikakubali.

Nikajipiga sopusopu na baada ya hapo nikaingia kwenye mchuma huyo nikaenda kumpitia. Nikamkuta naye kajikwatua kwelikweli...naona hakutaka mchezo siku hiyo. Akaingia kwenye mkebe nami nikapiga moto chini. Nadhani allipenda cologne niliyokuwa nimepakaa maana usiku mzima hakuacha kunipa compliments....'mmm jamani Ngabu unanukia vizuri...umepakaa nini?'....'Aaah nimepakaa Cartier Roadster Sport exclusive kutoka Nieman Marcus'....akasema kwa mshangao 'wee Ngabu sikuwezi...yaani hata cologne unanunulia Nieman Marcus!!'

Kuifupisha hadithi ndefu, tukaingia zetu hapo Maisha. Tukajirusha....vinywaji vya hapa na pale...yeye ni mpenzi wa Long island iced tea na mimi mtu wa bia tu. Basi tukafurahia usiku wetu halafu tukaondoka. Alikuwa kachoka na hakutaka nimrudishe kwake. Basi tukaenda wote kwangu.

Tukafika nyumbani tukaenda moja kwa moja chumbani. Tukachojoa mavazi tukapanda kitandani. Mara mwenzangu akaniambia anasikia baridi....mwanamume nikajua leo hapa kitu na boksi. Basi nikaanza kumtomasa tomasa hapo na jambo moja likapelekea jambo jingine na hatimaye nikajikuta niko juu ya kiuno chake na kilichofuatia baada ya hapo tumia imagination yako.

Shughuli ikawa ndio imeanza kukolea sasa. Mazee nilikuwa nagusa engo zote...kaskazini, kusini, mangharibi (sio magharibi), mashariki, kaskazini mangharibi, kusini mashariki...yaaani wewe acha tu. Mashine yake ilikuwa bomba sijapata kuona. Inavyoelekea ilikuwa haijapenyezwa kwa muda maana kitu kilikuwa taiti.

Sasa wakati karibia nafikia kilele mara ghafla bin vuuu nikaamka toka usingizini bana. Baada ya kutahamaki nikagundua kumbe nilikuwa ndotoni bana....aisee niliudhika sana na nikabaki kufyonya na kutukana. Yaani yale maraha yote kumbe nilikuwa naota bana...aaah basi hata kulala sikuweza tena. Ikabidi niamke tu nianze kuangalia tivii na ku-browse JF.

Hiyo ndio ilikuwa ndoto yangu ya usiku wa Jumamosi kuamkia Jumapili. Narudi zangu kwenye maboksi na tutaonana tena mwezi Oktoba nitakaporudi kutumia haki yangu ya kikatiba siku ya 31 mwezi huo.
Aisee Nyani Ngabu.......Erick Shigongo hana haja ya kuku-interview ....yaani akiiona tu hii post .....unapata position kubwa moja kwa moja Kwenye kampuni. tehe tehe tehe....
 
Aisee Nyani Ngabu.......Erick Shigongo hana haja ya kuku-interview ....yaani akiiona tu hii post .....unapata position kubwa moja kwa moja Kwenye kampuni. tehe tehe tehe....

Ebana eeh hata mimi nilikuwa nafikiri hivyo hivyo....let me holla at ma man....you never know..I may have a new gig
 
Naona ndio hizo ndoto za kimweri sijui,lakini ukimwi hukuuota hapo naona ndito yako si salama.
 
Naona ndio hizo ndoto za kimweri sijui,lakini ukimwi hukuuota hapo naona ndito yako si salama.

Sijui wewe ni mazee au mdada...sikiliza. Huyo mdada alikuwa gawjus..I mean she was hawt! On top of that she's smart....so it only made sense that I go in raw as sushi. What's the worst that could've happened...? Well, for one, if I had knocked her up I would have definitely been happy for I know the baby would have turned up to be as smart as her. If I would have caught a VD...then oh well....I would have just gone to the clinic and get it taken care of....If would have caught the bug....what can I say....ajali kazini...
 
Pole NN...

Lakini... wakati unafanya mapenzi na demu wa Jeiefu, huyu Jeiefu mwenyewe alikuwa wapi??

Oh! Nilikuwa kwenye maandalizi ya mfungo wa Ramadhani........Nilikuwa nabomoa majungu sehemu sehemu:smile-big:
 
haha nimekugopa!!!! wooww

but forget I dont think u worth my time ...

Like a give a rat's ass if u think 'bout me or not....but evidently u think enough of me to respond to my posts...bwahahahahaaaaa....u sooo stoooopid
 
Status
Not open for further replies.
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom