Kha!, hahahah!
The past was a freaking blast, no kidding!
Kwakifupi tulikutana Facebook, alikuwa na bidii ya kupost stories, nikamtongoza akaingia kwenye 18. Siku yakwanza kutoka naye niligundua anakuwa busy sana na simu, badae nilitoka kidogo wakati narudi nikakuta yupo kwenye app ya JF anatype kitu.
Sikushtuka wala kuuliza chochote, appointment yapili ilikuwa jana ambapo nilifanikiwa kugegeda papuchi yake. Aisee kama yuko jukwaa hili naomba hata anitumie ka emoji ka kopa Whatsapp kuonesha kuwa ameona uzi.
Kweli aisee kuanikana huku tutakosana sanaTukusaidie nini mkuu. Ndomaana mademu wa humu wanapotongozwa na watu wa humu huwa hawakubali wanaogopa mambo kama haya ya kutangaza. Aya tuwekee picha yake tumuone
Tena tunakimbia bila kugeuka nyuma 🏃♀️ 🏃♀️Wewe jamaa unatuharibia, sijui kwa nini umewaza na kuandika hivi. Tutakimbiwa huko piemuni.
Hahahahaha nimekumbuka mbaliiiAtakuwa yule wa kipindi kile aliyevaaga Tshirt ya Bendera ya Taifa na akaachiwaga na Jamaa 6700.
Anaitwa cute Nani vile?Atakuwa yule wa kipindi kile aliyevaaga Tshirt ya Bendera ya Taifa na akaachiwaga na Jamaa 6700.
Babe simu yangu ya whatsapp imeharibikaAisee kama yuko jukwaa hili naomba hata anitumie ka emoji ka kopa Whatsapp kuonesha kuwa ameona uzi.