Nimefanya mapenzi na Mwanamke wa JF!

Status
Not open for further replies.
Kha!, hahahah!

The past was a freaking blast, no kidding!
 
Kwakifupi tulikutana Facebook, alikuwa na bidii ya kupost stories, nikamtongoza akaingia kwenye 18. Siku yakwanza kutoka naye niligundua anakuwa busy sana na simu, badae nilitoka kidogo wakati narudi nikakuta yupo kwenye app ya JF anatype kitu.

Sikushtuka wala kuuliza chochote, appointment yapili ilikuwa jana ambapo nilifanikiwa kugegeda papuchi yake. Aisee kama yuko jukwaa hili naomba hata anitumie ka emoji ka kopa Whatsapp kuonesha kuwa ameona uzi.
 
Kwakifupi tulikutana Facebook, alikuwa na bidii ya kupost stories, nikamtongoza akaingia kwenye 18. Siku yakwanza kutoka naye niligundua anakuwa busy sana na simu, badae nilitoka kidogo wakati narudi nikakuta yupo kwenye app ya JF anatype kitu.

Sikushtuka wala kuuliza chochote, appointment yapili ilikuwa jana ambapo nilifanikiwa kugegeda papuchi yake. Aisee kama yuko jukwaa hili naomba hata anitumie ka emoji ka kopa Whatsapp kuonesha kuwa ameona uzi.

Mod hamisha uzi huu peleka kwenye ile thread ya kula tunda kimasihara ya legendary rikiboy
 
Ushajikaanga na mafuta yako mwenyewe
IMG_20220321_012042.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom