miles45
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 3,454
- 8,224
Ilikua Ni wiki Jana nikiwa nimechili sehemu basi nikiwa deep kwenye kufikiri jinsi gani nachezesha karata zangu za maisha , Akatokea mrembo mmoja huyu Ni mwanamke mzuri Alie fungasha mwenyewe na umbo lake Kama yule video queen wa kwenye wimbo wa nashidwa wa Cristian bela na kitabia Ni mwanamke anae onekana anajiheshimu.
Kifupi huyu Ni mwanamke ambaye mazoea nae hayana hata mwezi.basi akawa amekuja kasimama kwa mbele yangu baada ya salamu tu akadai anaumwa. Nikamuliza unaumwa nini Nikajibiwa nipo bleed . Sijui shetani gani alipita nikasema tuone Kama kweli. Akanisogezea kiuno nami nikagusa na kuminya minya mbususu na kumshika hips zake na kumchapa vibao vya kwenye hips na kumalizia matakoni Kama vile Trump alivyo mchezeaga yule bint na kweli nikakuta pad. Ila ilikua Ni chap maana nilikua eneo la wazi ila limetulia. Basi bana baada ya kumpapasa pale akasema ngoja akapumnzike atanicheki kesho na kunisisitizia kesho.
Siku ile nilijisikia poa na kawaida, ila usiku wa leo nimestuka usingizini Kama kawaida yangu na kuanza kujitathimin kwa kile nilicho kifanya aiseee moyo wangu umeumia Sana na kujutia kile kitendo Hadi kufikia kutoa ushuhuda humu ili roho yangu itulie.
Wanawake tunajua nyie Ni viumbe dhaifu ila tunaomba mpambane kidogo mkaze ili kupunguziana dhambi zisizo na maana .
Wanawake mtatupeleka motoni jmn msijilegeze Sana .
Hapa najiuliza hivi ni Ngono imekua rahisi au Ni Mimi nimepanda rank kwamba naweza cheza na mwanamke yoyote yule .
Mwenyezi Mungu aendelee tu kutusamehe waja wake.
Alfajiri njema.
Kifupi huyu Ni mwanamke ambaye mazoea nae hayana hata mwezi.basi akawa amekuja kasimama kwa mbele yangu baada ya salamu tu akadai anaumwa. Nikamuliza unaumwa nini Nikajibiwa nipo bleed . Sijui shetani gani alipita nikasema tuone Kama kweli. Akanisogezea kiuno nami nikagusa na kuminya minya mbususu na kumshika hips zake na kumchapa vibao vya kwenye hips na kumalizia matakoni Kama vile Trump alivyo mchezeaga yule bint na kweli nikakuta pad. Ila ilikua Ni chap maana nilikua eneo la wazi ila limetulia. Basi bana baada ya kumpapasa pale akasema ngoja akapumnzike atanicheki kesho na kunisisitizia kesho.
Siku ile nilijisikia poa na kawaida, ila usiku wa leo nimestuka usingizini Kama kawaida yangu na kuanza kujitathimin kwa kile nilicho kifanya aiseee moyo wangu umeumia Sana na kujutia kile kitendo Hadi kufikia kutoa ushuhuda humu ili roho yangu itulie.
Wanawake tunajua nyie Ni viumbe dhaifu ila tunaomba mpambane kidogo mkaze ili kupunguziana dhambi zisizo na maana .
Wanawake mtatupeleka motoni jmn msijilegeze Sana .
Hapa najiuliza hivi ni Ngono imekua rahisi au Ni Mimi nimepanda rank kwamba naweza cheza na mwanamke yoyote yule .
Mwenyezi Mungu aendelee tu kutusamehe waja wake.
Alfajiri njema.