Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,991
- 144,326
Hekima ndio kila kitu katika uongozi na si kupenda kusifiwa au kutukuzwa. Mfalume Suleiman alipoomba apewe hekima ni wazi alijua nini maana ya uongozi na kutumikia watu.
Hata katika dunia ya leo bado tunawahitaji sana viongozi aina ya Mfalume Suleiman maana wengi wao leo wamelewa madaraka na kusahau hata walikotoka!!
Inasikitisha.
Hata katika dunia ya leo bado tunawahitaji sana viongozi aina ya Mfalume Suleiman maana wengi wao leo wamelewa madaraka na kusahau hata walikotoka!!
Inasikitisha.