johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,600
- 141,419
Kwa kweli baada ya ziara ya mh Waziri mkuu Kassim Majaliwa mkoani Morogoro na kushuhudia uchafu na uozo wa kila aina kwenye halmashauri nawapa pole sana wabunge wa upinzani kwa misukosuko waliyopitia.
Kumbe kuwafunga funga jela ilikuwa ni kuwaziba macho ili wasiupigie kelele ufisadi wa fedha za miradi badala yake wawe busy na kesi za kutengenezwa mahakamani.
Somo:
Ukiona sehemu wapinzani wanabaguliwa na kusumbuliwa na wengine wanalazimishwa kuhamia CCM yumkini mahali hapo pana ufisadi wa kutisha ref: manispaa za Ilala na Kinondoni pia
Maendeleo hayana vyama
Kumbe kuwafunga funga jela ilikuwa ni kuwaziba macho ili wasiupigie kelele ufisadi wa fedha za miradi badala yake wawe busy na kesi za kutengenezwa mahakamani.
Somo:
Ukiona sehemu wapinzani wanabaguliwa na kusumbuliwa na wengine wanalazimishwa kuhamia CCM yumkini mahali hapo pana ufisadi wa kutisha ref: manispaa za Ilala na Kinondoni pia
Maendeleo hayana vyama