Nimeelewa kwanini unatakiwa kumheshimu mkeo sana

Mpendane, muheshimiane na mvumiliane kwani wote mnategemeana lakini sio mmoja wenu awe mtumwa kwa mwenzake. No
 
Kuna kipindi nikiwa mwanafunzi nilipopita JKT, kuna afande aliwahi kusema kuwa mheshimu mno mkeo unayelala naye kitanda kimoja, kwani kukuua ni dk 0 tu.

Akatoa na mfano kuwa je, akikuwekea sumu au kukunusisha dawa za kukuua, ukiwa usingizini utapona? Jibu ni hapana!

Tuwaheshimu wake zetu, wana siri zetu nyingi mno, wakisema wamwage tumekwisha. Pia ogopa sana mtu unaye-share naye kitanda.

Nawasilisha, uzi tayari.
Acha ushamba heshima haitafutwi kinguvu hivo ..... yaani utoe tu heshima hata Kama hastahili hiyo heshima.

Kiufupi huyo mjeshi alikua anakuaandaa kisaikolojia uwe mtumwa wa wanawake kwa jina la mke .

Kwani wewe ukiamua kumletea zawadi yenye sumu huwezi.....? Au umpakie sumu kwenye mkuyange umuimgize huko ndani ....?

Au kumnusisha sumu akilala

Nb
Acha uoga mwanamke apewe anacho stahili.
 
Hivi kwa nini wanaume mnawaza kuuliwa uliwa tuuuuuuuu na wake zenu


Unalala unaamka unapikiwa na mkeo halafu unawaza kuuliwa tuuuuuuuuu


Imeandikwa mke atamlinda mume wake


Hebu kunyweni maji mengi mshushe hofu
 
Natamani kama urudie kuandika vile. Kuna point za msingi ulikuwa unazitoa ila maneno yamechanganyana nimekosa mtiririko.
post # 30 kweli nilitumia simu (smartphone) kumbe nayo inachagua maneno
sasa nimerekebisha
 
Inamaana mwanamme hawezi kumuua MKE anayelala naye kitanda kimoja

Nao wanawake wawaheshimu Waume zao maana kuwaua ni dkk 0
 
Kuna kipindi nikiwa mwanafunzi nilipopita JKT, kuna afande aliwahi kusema kuwa mheshimu mno mkeo unayelala naye kitanda kimoja, kwani kukuua ni dk 0 tu.

Akatoa na mfano kuwa je, akikuwekea sumu au kukunusisha dawa za kukuua, ukiwa usingizini utapona? Jibu ni hapana!

Tuwaheshimu wake zetu, wana siri zetu nyingi mno, wakisema wamwage tumekwisha. Pia ogopa sana mtu unaye-share naye kitanda.

Nawasilisha, uzi tayari.
Title unasema umeelewa

Story ni ya past

Kero fasihi ni kipaji
 
Shida yako unaonekana unapenda kutukuza wanawake

Umewahi yule mwanaume aliyemchoma mke wake kwa gunia la mkaa yukoje

hii dunia aina mmiliki mtu yeyote akiamua na akapania anakuua
 

Similar Discussions

9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom