Hahahahahahaha sasa ukiwa na wasi wasi kila saa hata kum-do utashindwa. Utashindwa ku-erect kwa kuwa una hofu naye. Dawa ni kuwa free tu. Hawezi kukuua kama ni mkeo, labda uwe unaishi naye kiadui.Mwanaume inabidi ulale kimachale sio unajiachia tu kama gogo una koroma tu ... Ishi kama mlinzi ..ukikaa vibaya one mistake one goal ... TRUST YOUR INSTINCT
Yes ni kweliKuheshimiana...
Maana hata wewe unaweza mpiga ngumi akiwa usingizi akakata roho...
Nani aliyekuwa anamuhesabia?
Labda alirundika kwenye mafungu,kila bao na fungu lake.Nani aliyekuwa anamuhesabia?
Mke dawa yake ni miti, akitandikwa vizuri akashiba hatakuwa na nia ya kuku uaDaaah! Daah yaani mtuheshimu kwakuwa tunaweza kuwaua?
Heshima ni sehemu ya upendo.Sijaelewa tafsiri ya HESHIMA unayoizungumzia. Nawezaje kumheshimu mwanamke ninayemlala?! Angekuwa dada au Mama sawa. Kwa tafsiri yangu mke HAHESHIMIWI bali anapendwa
Cctv camera'sNani aliyekuwa anamuhesabia?
DuuuSijaelewa tafsiri ya HESHIMA unayoizungumzia. Nawezaje kumheshimu mwanamke ninayemlala?! Angekuwa dada au Mama sawa. Kwa tafsiri yangu mke HAHESHIMIWI bali anapendwa
Ebu shangaa hata wewe, inamaana mngekuwa hamuwezi kutuua ndiyo uhalali wa kuwadharauDaaah! Daah yaani mtuheshimu kwakuwa tunaweza kuwaua?
Sawa,na Wanawake nao watuheshimu Sana maana hata wao tumewabebea siri nyingi.Nasema uongo ndugu yangu???.Kuna kipindi nikiwa mwanafunzi nilipopita JKT, kuna afande aliwahi kusema kuwa mheshimu mno mkeo unayelala naye kitanda kimoja, kwani kukuua ni dk 0 tu.
Akatoa na mfano kuwa je, akikuwekea sumu au kukunusisha dawa za kukuua, ukiwa usingizini utapona? Jibu ni hapana!
Tuwaheshimu wake zetu, wana siri zetu nyingi mno, wakisema wamwage tumekwisha. Pia ogopa sana mtu unaye-share naye kitanda.
Nawasilisha, uzi tayari.
Ndio hapo sasa!Ebu shangaa hata wewe, inamaana mngekuwa hamuwezi kutuua ndiyo uhalali wa kuwadharau
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Ila Espy hiyo picha ya ID yako ninaipenda na sijui ulifikiria nini haswaa hadi kuchagua hiyo picha.Ndio hapo sasa!