Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 152,994
- 453,863
Angetulia angepungukiwa na nn jamani
Angetulia angepungukiwa na nn jamani
Jamani jamani mito kwani hapa hapafai
Angetulia angepungukiwa na nn jamani
Hahahahha
Amembwato nnWakuu natoa rai kwa wale wanaopenda kudukua mawasiliano ya wenza wao waache taifa litapoteza Nguvu kazi.. Msaada dawa za kutuliza mapigo ya moyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kulala analala humo humo lakini hajiwezi bila bilaMi hata huruma juu yao ishanitoka kabisa, unakuta lijitu adi linalala nje, ila sasa amkute mkewe hata anatongozwa hajakubali linakuja kulialia humu
Wanatakiwa wafanye kazi wawaridhishe wake zao tatizo safari hazifi hivyo wanakuwa na wasiwasi sana yakuwa gari zinazimika mapema mwendo wa kusukuma inashindikana ni mwendo wa paki pembeniHahahahha
Halafu hizi mambo za wanaume na udukuzi jf zimeingia kila siku lazima walete thread
Wakubwa ndio tutakuelewa ujue ulichoandikaWanatakiwa wafanye kazi wawaridhishe wake zao tatizo safari hazifi hivyo wanakuwa na wasiwasi sana yakuwa gari zinazimika mapema mwendo wa kusukuma inashindikana ni mwendo wa paki pembeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Kesho tupigepige stori zetu za kulee..inbox.