Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
!
!
Hii habari daaah imenipa shida sana kuimaliza. Iko vipande vipande mno. Ila Pole kaka. Vipo mnaendeleaje.
Yawezekana kesha ua na kujiua!!!
!
!
Hii habari daaah imenipa shida sana kuimaliza. Iko vipande vipande mno. Ila Pole kaka. Vipo mnaendeleaje.
Mkuu mimi naomba tenda ya kusaplai jeneza, sanda na maua ya kuweka juu ya kaburi pindi utaporesti ini pisi...
cjakuelewa hata coz kichwa cha habar na maelezo yaliyopo hayaendan, hebu endelea ikawaje
hii ni love story au true story ?
siri nzito za simu ya baby wako ushaikagua
Yawezekana kesha ua na kujiua!!!
Nimesoma thread yako inahuzunisha sana. Jitahidi kusahau ila nakushauri nenda duka la dawa nunua dawa hii Amityptilline tabs 25mg Meza usiku tu kila siku unapolala itakupa Muda mzuri wa kupumzika na baada ya Muda utasahau yote. Take care na usinywe pombe. Mimi ni Dr. Itakysaidia kama itakusumbua usisite kunutafuta. Pole sana
AmitryptilineInaitwa Amitriptyline na sio Amityptilline kama ulivyoandika...Na wewe ni Dr u......ra au???