beny jr
JF-Expert Member
- Jul 15, 2018
- 822
- 1,133
Habari wanajamvi,
Natanguliza samahani kwa kuwapotezea muda ila nimeandika huu uzi kwa lengo la kuomba ushauri mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu ndio nilikua namaliza ila nimeshindwa baada ya kufukuzwa chuo na sababu ni kumfanyia mwanafunzi mwenzangu mtihani wa sapp huyu rafiki yangu
Nimejuana nae toka mwaka wa kwanza na changamoto yake toka mwaka ule wa kwanza alikamatwa MATHEMATICS sasa yeye katoka HGL na hakua na msingi wa hesabu aliibebea toka mwaka huo sasa mwaka huu akaona lazima agraduate na njia pekee ni kumuomba mtu amfanyie
Tulienda Kariakoo kuchongesha ID ikafika siku ya mtihani akanipa niliingia kufanya nikamuonyesha examination invigirator ID akaingalia akaniruhusu nifanye kibaya baada ya kumaliza msimamizi akapata hofu akasema nimpe ID tena aiangalie ndipo nilipokamatwa na kupelekwa admission nilipigwa na walinzi mpaka nikamtaja mwenzangu
Sasa hukumu leo imetoka nimefutwa chuo na mimi ni yatima sina wazazi yaani nimesomeshwa na serikali nilipata boom %100 na o-level ni taasisi za dini ndio zilinipa msaada wa kunilipia elfu ishirini ya ada na vifaa vya shule hapa
Nimechanganyikiwa sina hata cha kufanya nahisi dunia imenielemea naombeni ushauri wenu tafadhali
Natanguliza samahani kwa kuwapotezea muda ila nimeandika huu uzi kwa lengo la kuomba ushauri mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu ndio nilikua namaliza ila nimeshindwa baada ya kufukuzwa chuo na sababu ni kumfanyia mwanafunzi mwenzangu mtihani wa sapp huyu rafiki yangu
Nimejuana nae toka mwaka wa kwanza na changamoto yake toka mwaka ule wa kwanza alikamatwa MATHEMATICS sasa yeye katoka HGL na hakua na msingi wa hesabu aliibebea toka mwaka huo sasa mwaka huu akaona lazima agraduate na njia pekee ni kumuomba mtu amfanyie
Tulienda Kariakoo kuchongesha ID ikafika siku ya mtihani akanipa niliingia kufanya nikamuonyesha examination invigirator ID akaingalia akaniruhusu nifanye kibaya baada ya kumaliza msimamizi akapata hofu akasema nimpe ID tena aiangalie ndipo nilipokamatwa na kupelekwa admission nilipigwa na walinzi mpaka nikamtaja mwenzangu
Sasa hukumu leo imetoka nimefutwa chuo na mimi ni yatima sina wazazi yaani nimesomeshwa na serikali nilipata boom %100 na o-level ni taasisi za dini ndio zilinipa msaada wa kunilipia elfu ishirini ya ada na vifaa vya shule hapa
Nimechanganyikiwa sina hata cha kufanya nahisi dunia imenielemea naombeni ushauri wenu tafadhali