alumelunda
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 745
- 903
Kidole gani?Mkuu inakuuma nini haswaa?? Yeye ni ccm, mawaziri ni maccm hivyo anawatukana maccm wenzake, acha watukanane hata watiane vidole safi sana!
Kidole gani?Mkuu inakuuma nini haswaa?? Yeye ni ccm, mawaziri ni maccm hivyo anawatukana maccm wenzake, acha watukanane hata watiane vidole safi sana!
Inawezekana kuwa sahihi...lkn tusikatae bao la mkono kuhusika....bao la mkono ni mkakati hata Mgombea wa upinzani anaweza kuhusika...ni Mrazamo tu.Unadhani wapinzani walifanya uchaguzi sahihi wa mgombea wao aliyesimamishwa dhidi ya jpm?
Pumbavu...mambo ya usukumani usihusishe na taasisi ya Urais...Udhaifu wa mtu mpuuzi ni upuuzi wake mwenyeweNaamini hujawahi kukaa usukumani mimi sioni jambo la ajabu na amesema hayo katika nia njema kuwa hata yeye na mawaziri wake huwa inafikia hatua wanaambiana maneno makali ili kazi iende. Hakuwa na maana ya kuwatukana kama ulivyojikalilisha wewe
Si kweliMi naona nchi ndiyo inamnyoosha, kwa kuwa nchi ni kubwa kuliko uwezo wake.
Mkuu, WAACHE WAFU WAWAZIKE WAFU WAO...!!!Ukiangalia kwa makini na kutafakari sana utagundua kuwa Rais Magufuli amekuwa Rais wa pekee duniani kuongea maneno ambayo kimsingi anapozungumza basi miongoni mwake yanakuwepo maneno ya HOVYO kupita kiasi. Unaweza kujiuliza sana kama Rais Magufuli ana utimamu kiuongozi na jibu ukalipata vizuri sana kutokana na anavyozungumza.
Wapi katika dunia hii umewahi kusikia Rais mwingine mbali na Magufuli akijinasibu kuwatukana wengi wa mawaziri wake? Wapi umewahi kusikia? Ukishaona hilo utagundua kuwa tuna Rais wa kipekee kama ambavyo wana CCM wasemavyo kwa kumpamba.
Akiwa mkoani Kilimanjaro alimpa za uso RC Meck Sadick hali iliyomfanya aamue kujiondokea, akamfanya Kinana akimbilie kusiko julikana. Alitaka kuleta sintofahamu kwa mama Samia bahati nzuri wakaokoa jahazi. Sasa hao waliotoka "Majalalani" wanaona sawa tu kutukanwa. Huwa najiuliza sana! Lakini mwenye shida ni Rais mwenyewe. Ukiona tayari una madaraka makubwa kiasi cha kuweza kuamua chochote basi ni bora sana ukatawaliwa na busara.Usijikweze kwa kumtukana mtu mzima mwenye familia huku ukiona hana ujanja kutokana na maisha, mbaya zaidi ni pale unapomtangaza hadharani.
Kiukweli kitendo cha Rais kujigamba hadharani kuwa anawatukana mawaziri wake si cha kuchukuliwa kikawaida. Ameongea hivyo ili baadaye aanze kuwatukana sasa hadharani. Anapima upepo na kutokana na ilivyochukuliwa basi tutarajie watu kuanza kutukanwa hadharani. Yani tumekuwa waoga-wajinga mpaka tunakera. Inakuwaje? Ni ufukara wetu? Ni unyonge tulio nao ambao wanajivunia?
Lakini alipita.
Alichaguliwa na watanzania
Naye pia Ni binadamu Kama walivyo binadamu wengine,,ana madhaifu yake.
Hana mpangilio mzuri wa Nini akiseme na Nini asiseme...
Yote kwa yote ndio Rais wetu tuliyemchagua
I agreeAliwekwa na tume, mimi siwezi chagua jiwe, labda kama wewe na familia yako mlimchagua
Ww ndio unatia kinyaa na unajamba mwenyewe unastuka mwenyeweWatu wa majalalani mnatia kinyaa...hivi mna akili timamu kweli!!!!!!!!?
Dada Kifutu umechanganyikiwa!!!?Ww ndio unatia kinyaa na unajamba mwenyewe unastuka mwenyewe
Hao wala usidhani wanajali hiyo kudharauliwa. Wenyewe wako peace tu, bora mkono uende kinywani.Hujawahi kufanya kazi chini ya mtu ambaye anakudhalau ,ndo maana huwezi kujua maumivu yake.
Jinyonge basiUkiangalia kwa makini na kutafakari sana utagundua kuwa Rais Magufuli amekuwa Rais wa pekee duniani kuongea maneno ambayo kimsingi anapozungumza basi miongoni mwake
Rudi jalalani...takataka ndio zinakufaaHAKUNA , WATANZANIA MNANYUMBURISHA MANENO SANA , YEYE HAKUSEMA ANAWAAMBIA WAPUMBAVU,HIVI NYIE MBONA MNAMLISHA MANENO RAIS,
pambafu zenu